PICHA YA SIKU (TUNAOMBA RADHI KWA MUONEKANO)

Picha ni jamaa(Mpasua mbao)aliyejaribu kupambana na Simba baada ya kukutana nae katika hifadhi ya Taifa ya Katavi, Wilayani mlele Mkoa wa Katavi.

Aalikufa Simba na jamaa huyo kujeruhiwa vibaya.