Askari Polisi Ajiuwa Baada Ya Kumjeruhi Mwanamke kwa Risasi

Kwa Habari zilizotufikia ni kuwa Askari Polisi wa Kituo cha polisi cha
mjini mpanda aliyeweza kufahamika kwa jina moja la Bwana Chacha
amefariki dunia baada ya kujipiga risasi kichwa hiyo imetokea baada ya
kumpiga risasi zinazokadiliwa kuwa mbili mwanamke ambaye walikuwa
wakigombea kiwanja walichouziwa, na tofari zilizo fyatuliwa kwenye
kiwanja hicho zadaiwa kuwa chanzo.

Wapigie Kura Washiriki Wa Maisha Plus Kutoka Katavi

Theresia katika pozi



Kumpigia Kura THERESIA ZAKARIA Andika MP01 kisha tuma kwenda No. 15584

Gabriel Lwinga

Katika pozi la picha

Lwinga
Kumpigia Kura GABRIEL LWINGA Andika MP18 kisha tuma kwenda No. 15584


Lucas

Lucas katika pozi

Kumpigia Kura LUCAS MARTIN Andika MP17 kisha tuma kwenda No. 15584

Wapigie kura washiriki hawa mara nyingi uwezavyo ili waweze kuibuka washindi ingawa mshindi ni mmoja lakini toa mchango wako kufanikisha kuleta taji mkoani Katavi, Katavi tunaweza


Picha: www.maishaplus.tv