MUDA WA KUJAZA FOMU ZA USHIRIKI MAISHA PLUS WAONGEZWA

Habari njema kwa waliokosa nafasi ya kushiriki, Kutoka na na maombi ya wengi tumeongeza muda wa kupokea fomu hadi tarehe 30/01/2014.

1. Kijana wa Tanzania, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda mwenye umri wa kati ya miaka 21 - 26, jaza moja kwa moja fomu ya kushiriki shindano la Maisha Plus kwa kubofya hapa -->http://maishaplus.tv/MaishaPlusFomu2014.html

2. Kama wewe ni mkulima mwanamke mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea mkazi wa Tanzania ama unamfahamu yeyote, jaza fomu moja kwa moja kwa kubofya hapa -->http://maishaplus.tv/MamaShujaaFomu2014.html

Tunawatakia kila la Kheri.

Kwa hisani ya Bill and Melinda Gates Foundation / Oxfam in Tanzania