Siku ya May Mosi kama kawaida Mpanda_Katavi hatukuwa nyuma

 Wanafunzi wa chuo cha ufundi stadi(Veta) wakiwa kwenye maandamano.

Huku mmoja akiwa na bango lenye ujumbe usemao UFUNDI STADI Ni AJIRA KWA VIJANA

Wafanyakazi wakiwa kwenye maandamano ya siku yao ya wafanya kazi.




Wanafunzi nao hawa kuwwambali kuonesha ushilikiano wao katika siku hii ya wafanyakazi duniani.







                     Kama kawaida ya VETA hawakuwa mbali kuonesha zana zao za kufanyia kazi


Kitaifa sherehe hizi zilifanyika Jijini Tanga katiaka uwanja wa Mkwakwani huku Mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Dk J.Kikwete


Picha:

  • Alex Milwano

Sherehe za Kumkabidhi mkoa mkuu mpya wa mkoa mpya wa katavi!

Hapa ni mkuu wa mkoa akiwa anaingika katika viwanja vya kashaulili na hapo alikuwa akisalimiana na wananchi.















Hapa mheshimiwa mkuu wa mkoa akiwa anaingia katika viwanja vya kashaulili kuendelea na sherehe.







Mambo ya kimila pia yalikuwepo katika makabidhiano ya mkoa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Rukwa Eng. S. Manyanya kwa Mkuu wa mkoa wa KAtavi Mh. R. Rutengwe.

Hapa Mh. ndugu R. Rutengwe akiwa amekalisha kuombewa dua na wazee.

Picha: 
  • Alex Milwano
  • Oswald Kikwala