MV MAGOGONI YAPOTEZA MUELEKEO

Kivuko kikubwa cha MV Magogoni kinachofanya safari zake kati yaKivukoni na
Kigamboni jijini Dar es Salaam kimekosa muelekeo majini katika bahari ya
Hindi kikiwa na abiria na magari baada ya injini zake kushindwa kufanya
kazi.
Mpaka sasa abiria wote wameokolewa, na magari kubaki kwanza. Tutaendelea
kuwapa taarifa zaidi

--
Posted By Blogger to Michael M. Mazalla at 12/18/2013 04:35:00 PM