MV MAGOGONI YAPOTEZA MUELEKEO

Kivuko kikubwa cha MV Magogoni kinachofanya safari zake kati yaKivukoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam kimekosa muelekeo majini katika bahari ya Hindi kikiwa na abiria na magari baada ya injini zake kushindwa kufanya kazi.

Mpaka sasa abiria wote wameokolewa, na magari kubaki kwanza. Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi