MCHAKATO WA KUTAFUTA MWANAMUZIKI BORA WA MKOA WA KATAVI

Hello Ndugu Mwananchi Mpigie kura msanii chipukizi Francis Christopher a.k.a Fc rapper kuwa sanii Bora wa mkoa wa Katavi.

Kumpigia Kura Andika Neno
HBR Acha Nafasi andika FC Rapper tuma kwenda15678 hakuna ukomo wa kupiga kura, Piga mara nyingi uwezavyo. Vigezo na masharti kuzingatiwa

Shindano hili linaendesha na kituo cha radio cha mkoani Katavi Mpanda fm. Ni katika mchango wao kuinua sanaa ya mkoa na Tanzania kiujumla.