MTU MMOJA AUWA JIJINI DAR

Mtu mmoja mkazi wa kawe mzimuni jijini Dar es salaam ameuawa katika mazingira ya utata baada ya mwili wake kukutwa umetelekezwa katika chumba kimoja walichokuwa wakiishi wasichana wawili.

Huku uchunguzi wa awali ukibaini kuwa mtu huyo alichomwa na kitu chenye ncha kali na kusababisha kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha