MTANI JEMBE KAJULIKANA SASA

Umekwisha, na timu ya Simba imeibuka mshindi kwa bao 3 - 1 Yanga.

Ila wakati mechi ikiendelea baadhi ya mashabiki upande wa jukwaa la Yanga wametolewa kwa machela kufuatia kupoteza fahamu.

Wafungaji wa Simba ni Awadh Juma na Amisi Tambwe.

Mfungaji wa Yanga ni Emmanuel Okwi