WALIOCHAGULIWA MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014(SEASON 4)

Baada ya zoezi la kupitia fomu za vijana na wakulima wanawake kutoka nchi nzima, wafuatao wamechaguliwa kwa ajili ya usaili wa Maisha Plus/ Mama shujaa wa chakula 2014.

Vijana 40 waliochaguliwa watagawanywa katika makundi mawili ya vijana 20. Kundi moja litapelekwa katika kijiji cha awali Iringa na kundi jingine katika kijiji cha awali Zanzibar.

Huko watatakiwa kuishi na kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo katika vijiji hivyo. Mwisho wanakijiji watatakiwa kuwapigia kura ili kupata washiriki 9 kutoka kila kijiji hivyo kuwa na jumla ya vijana 18. Hawa wataungana na wenzao 12 kutoka nchi za Burundi, Kenya, Rwanda na Uganda.

Mama shujaa wa chakula 30 watafanyiwa uhakiki 'verification' wataarifa zilizojazwa kwenye fomu, zoezi hilo litaambatana na upigaji picha za mnato pamoja na video na kisha kupigiwa kura kupitia mtandao pamoja na SMS (meseji) ilikupata washiriki 20 ambao wataenda katika kijiji cha Maisha Plus kuungana na vijana.


MAISHA PLUS 2014

1. Adolph Anacleth - Mwanza
2. Agatha Kalesu – Rukwa
3. Ally Thabit - Mwanza
4. Anastazia John – Mara
5. Asumta Mwingira – Dar es salaam
6. Ausi Abdul Moyo – Ruvuma
7. Bakari Khalid – Shinyanga
8. Boniphace Meng'anyi Nyankena – Dar es salaam
9. Charles Daniel – Simiyu
10. Douglas Said Msalu - Arusha
11. Ellymathew Kika – Njombe
12. Elizabeth Joachim - Tabora
13. Fahamni Kaite Mwadini – Zanzibar
14. Farida Ally – Pwani
15. Fadhili Isanga - Kilimanjaro
16. Flora John - Singida
17. Frederick Joseph Ndahani – Singida
18. Hyasinta T. Hokororo - Mtwara
19. Jane Julio Kalinga – Iringa
20. John Sylvester Malima - Geita

21. Joyce Jacob Mushy - Arusha
22. Marriam Mosses - Shinyanga
23. Mary Nicholaus Kavishe – Manyara
24. Mbonimpaye N. Nkoronko – Rukwa
25. Mohammed Selemani Lipemba - Lindi
26. Moureene K. Daud - Kagera
27. Nelson Daniel – Dar es salaam
28. Ngoma Abdallah – Kigoma
29. Osama Norman – Mbeya
30. Otilia Selestin Simime - Mbeya
31. Said Salum – Katavi
32. Salumu Saidi Johari – Mtwara
33. Scholastica Deusidedith – Geita
34. Seif Mohamed Salum - Tabora
35. Shaaban Masoud Shaaban – Zanzibar
36. Shida Keneth Mganga – Dodoma
37. Shishira G. Mnzava - Morogoro
38. Thomas P. Mgazwa – Dodoma
39. Yassini Hamisi Suddi – Dar essalaam
40. Zaharani Yusuph Hossen – Tanga


MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014

1. Amina Kupela Chikaponya – Mtwara
2. Anna James Yuda – Morogoro
3. Anna Mwanilyela Chrisant – Katavi
4. Bahati Muriga –Mwanza
5. Clara Ancilla Ibihya – Pwani
6. Cristina Kurwa Malale – Zanzibar
7. Dina Rusoti – Mara
8. Dionisia Rashidi Karata – Tanga
9. Doricus Msafiri Shumbi – Singida
10. Edina Jamas – Mbeya
11. Elinuru Moses Pallangyo – Arusha
12. Elizabeth Matayo – Geita
13. Elizabeth Simon – Morogoro
14. Ezeleda Chedego – Dodoma
15. Fredina M. Said – Shinyanga
16. Gladness Ebenezery Mmary –Kilimanjaro
17. Grace G.D. Mahumbuka – Kagera
18. Janeth Niima – Manyara
19. Kuruthumu Ramadhani Mwengele – Tanga
20. Leah Dominick Mnyambugwe– Dodoma
21. Mary Athanaz Ndasi – Rukwa
22. Mary John Mwanga – Singida
23. Mary Kessy – Dar es salaam
24. Neema Robert – Simiyu
25. Nyachum Haji Ame – Zanzibar
26. Pendo Musa – Morogoro
27. Santina Mapile – Njombe
28. Thereza Kitinga – Mwanza
29. Zaituni Shedrack Kalenbi – Kigoma
30. Zamda Daniely Mgonganga – Iringa


Tunatoa pongezi kwa wote waliochaguliwa kwa ajili ya usaili. Asanteni na pole kwa wengine wote walioshiriki lakini hawakubahatika.

Tunasikitika hatukuweza kuwachagua wote. Tafadhali jaribuni msimu ujao.