Wajerumani Kuwasha Moto Uingereza Leo

Kivumbi kinatarajia kutimka hapo majira saa 3:45 usiku kwa majira ya afrika mashariki katika Uwanja wa taifa wa Uingereza Wembley pale Miamba miwili kutoka Ujerumani itakapo umana katika fainal ya kombe la mabigwa Ulaya (Uefa Champions league).

Nikati ya Borussia Dortmund dhidi ya Bavarians Bayern Munich. Mchezo huo unatarajia kuwa wa kusisimu kwani pande zote mbili ziko katika hali nzuri.

Mario Gotze ataukosa mchezo huo wa fainal kutokana na kuwa majeruhi. Lewandowski na Reuc wataongoza mashambulizi kwa upande wa Bayern Mario Gomez na Muller wakitarajiwa kuongoza mashambulizi hayo.

Borussia na Bayern wameingia fainal kwa kuwaondosha wababe wa Uispania Madrid na Barcelona.

Borussia waliwandosha Madrid, na Bayern nao kwa kutoa kipigo cha paka mwizi kwa Barcelona kwa jumla ya magoli Saba(7) kwa sifuri. Pia Bayern ndiyo bingwa wa ligi ya Ujerumani huku Borussia akiwa wa pili kwa tofauti ya pointi 22.
Bayern wameingia fainal mara mbili mfululizo baada ile ya msimu uliopita 2011-2012 ambapo walifungwa na Chelsea kwa mikwaju ya penati katika dimba lao la Allianz Arena jijini Munich

Vikosi vya msimu mzima unaomalizika wa 2012-2013 ni kama ifuatavyo.

Kikosi cha Msimu cha Bayern Munich

-Manuel Neuer
-Tom Starke
-Maximilian Riedmüller
-Lukas Raeder

Defenders

-Dante Bonfim
-Daniel Van Buyten
-Rafinha
-Jérôme Boateng
-Philipp Lahm
-Diego Contento
-Holger Badstuber

Midfielders

-Franck Ribéry
-Javi Martínez
-Arjen Robben
-Xherdan Shaqiri
-Mitchell Weiser
-Thomas Müller
-David Alaba
-Luiz Gustavo
-Bastian Schweinsteiger
-Emre Can
-Toni Kroos
-Anatoliy Tymoshchuk

Forwards

-Mario Mandžukić
-Claudio Pizarro
-Patrick Weihrauch
-Mario Gomez

Kikosi cha Msimu cha Borussia Dortmund

Goalkeepers

-Zlatan Alomerović
-Mitchell Langerak
-Roman Weidenfeller

Defenders

-Felipe Santana
-Koray Günter
-Marcel Halstenberg
-Marc Hornschuh
-Mats Hummels
-Thomas Meißner
-Patrick Owomoyela
-Łukasz Piszczek
-Marcel Schmelzer
-Neven Subotić

Midfielders

-Mustafa Amini
-Marvin Bakalorz
-Rico Benatelli
-Sven Bender
-Leonardo Bittencourt
-Jakub Błaszczykowski
-Mario Götze
-Kevin Großkreutz
-İlkay Gündoğan
-Jonas Hofmann
-Sebastian Kehl
-Oliver Kirch
-Moritz Leitner
-Nuri Şahin

Forwards

-Bálint Bajner
-Marvin Ducksch
-Robert Lewandowski
-Marco Reus
-Julian Schieber

Kila la heri BVB na BAVARIANS