Majambazi Yapora na Kuuwa Jijini Dar

Majambazi yapora mama mmoja kiasi
cha shilingi milioni kumi na kutokomea
kusikojulikana.

Tukio hilo limetokea leo
saa 11 jioni inavyosemekana mdada
huyo alikua akitoka benki ya CRDB
tawila
Uhuru ambapo majambazi yakiwa na
pikipiki yalikua yakimfuatilia, alipotoka
tu wakaligonga gari lake makusudi
ndipo dada huyo
aliposimama ili angaalie nani kagonga
gari yake ambapo jambazi mmoja
alishuka na kumpiga risasi ya kifuani na
kutokomea na kiasi hicho cha pesa.