Shekhi Ponda Apata hukumu ya Kifungo cha Nje

Makahama ya Hakimu
Mkazi Kisutu Dar Es
Salaam, imemfunga kifungo cha nje
cha mwaka mmoja katibu wa Jumuiya
na Taasisi za Kiislam Tanzania Shekhe
Ponda Issa Ponda,huku washtakiwa
wengine wote 49 wakiachiwa huru