IFM YATOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGUWA KUJIUNGA NA NAFASI SHAHADA(DEGREE) KWA MWAKA 2014/2015

Bofya hapa chini kuangalia majina ya wanafunzi waliochaguliwa.

Bofya Hapa kuangalia Majina ya waliochaguliwa

Chuo cha usimamizi wa fedha(IFM) Kimetoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shahada(Bachelor degree) katika kozi tofauti zinazotolewa na chuo hicho, Kwa wanafunzi watakao ona majina yao wanatakiwa kufika chuo kwa ajili ya usajili na na orientation  kuanza tarehe 6 mpaka 10 October ra taribaya masomo kuanza 13 oktoba. Hivo wanatakiwa kuwahi kufanya usajili.