Breaking News: Bomu lalipuka Arushah

Kwa habari mpasuko kutoka jijini Arusha ni kuwa kitu kinachosadikika kuwa ni bomu kimeripuka katika Mkutano wa Chadema na kujeruhi saba(7). Watu wanne waripotiwa kufa

Habari zaidi zitafuata.

Source: ITV