Ubovu Wa MiundoMbinu

Hii ni barabara Inayounganisha Mkoa wa Tabora na Katavi, Hali imekuwa
korofi baadhi ya maeneo na kusababisha magari kushindw kupita na
kusababisha msururu kusubiri kukwamua Magari yaliyo Kwama, Kabla ya
Eneo la Ipole ambako ujenzi wa Daraja Unaendelea hali ni mbaya na pia
katika Eneo mbele kidogo ya Mji wa Inyonga mkoani Katavi. Juhudi za
Hali zinahitajika kuokoa usafiri wa unaunganisa Mikoa hii ya
Magharibi. Kigoma, Tabora, Katavi na Rukwa