Ambwene Yesaya Awa Verified Twitter

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nchini Ambwene Yesaya (AY) Amekuwa
verified katika mtandao wa kijamii wa Twitter, Amekuwa msanii wa
kwanza wa Muziki Tanzania kutambuliwa na Twitter, Kwa Upande mwingine
Watanzania ambao wako verified katika Twitter ni Raiswa Jamhuri ya
Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete (@jmkikwete), January Makamba
(@JMakamba), Hasheem Thabiti (@hasheemthedream), Flaviana Matata
(@Flavianamatata), Ambwene Yesaya (@AyTanzania)
Kwa kitendo Hicho kinaifanya Tanzania kuendelea kutambulika Duniani
Hasa kwa uwakilishi Unaofanywa na AY