Ndege Yaanguka Arusha

Arusha: Ndege ya Marehemu Wakili Nyaga Mawalla yaanguka na kuharibika
'write-off'
- Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba ndege iliyokuwa
inamilikiwa na Wakili maarufu Marehemu Nyaga Mawalla aliyefariki wiki
3 zilizopita na kuzikwa huko Nairobi, imeanguka ikiwa katika hatua za
mwishoza kutua (final approach) katika kiwanja cha ndege chaArusha.
- Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani pekee
anayejulikana kwa jina la Jamal B S, au maarufukama "Bob Sambeke"
aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro ambaye naye kapoteza maisha
(kafariki)!
- Inadaiwa kuwa ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya masaa ya kawaida
ya kufunga kiwanja (saa 12.30 jioni)kupita.



Chanzo:JamiiForum