Idadi Ya Vifo Yaongezeka

Idadi ya watu waliofariki kutokana na kuangukiwa na jengo la ghorofa kumi na sita (16) lilokuwa katika ujenzi jijini Dar es salaam imeongezeka na kufikia thelathini na sita (36) an majeruhi kumi na nane (18).
Huku matumaini ya kupata miili zaidi ikipungua, pia Juhudi hiyo imeingiliwa na mvua ambazo zinaendelea kunyesha jijini Dar es salaam.
Mungu azilaze mahali pepa peponi roho za malehemu, na pia awajalie nguvu na kupona majeruhi ili kuendelea na ujenzi wa taifa.





Picha hapo juu ni baadhi ya majeruhi na waokoaji wkiendelea na kazi ya kuopoa miili zaidi.