AJALI YA LORI WILAYANI MPANDA LAUWA MMOJA.

Baada ya siku chache kupita tangia ajali ya basi la sumry daraja la stalike wilaya ya Mlele mkoani Katavi,leo asubuhi lori lililokuwa limebeba saruji(cement) lilifeli breki na kuanguka maeneo ya Kasimba darajani na kuua mtu moja papo hapo.