SIGARA YAMPONZA SZCZESNY

Kipa wa kikosi cha kwanza cha Arsenal, Wojciech Szczesny amepigwa faini ya pauni 20,000 Szczesny amepewa adhabu hiyo baada ya kukuta na kosa la kuvuta sigara muda mchache baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Southampton.

Kitendo cha kipa huyo kilisabaisha hasira kwa kocha wake Arsene Wenger na kuamua kumpa adhabu hiyo.

Jack Wilshere pamoja na nahodha wa zamani wa klabu hiyo William Gallas waliwahi kumbwa na tatizo kama hili la uvutaji wa sigara.