Breaking News: Uhuru Kenyatta Rais Halali wa Kenya

Mahakama kuu nchini kenya Imemtangaza bwana Uhuru Kenyatta Kuwa ndiye
Rais Halali wa Jamhuri ya Kenya, Matokeo Hayo yametangazwa na Jaji
mkuu bwana Willy Mutunga
Mahaka kuu imetangaza matokeo Hayo baada ya Mgombea Urais Bwana Raila
Odinga kupinga matokeo ya Uraisi.Rais Uhuru Kenyatta anatalajia kuapishwa rasmi tareh 9 April mwaka huu.
Hongera Rais Uhuru Kenyatta na Amani kwa Wakenya wote