Updates: Jengo Laanguka Jijini Dar es salaam

Taarifa kutoka katika jengo lililoanguka leo asubuhi katika mtaa wa
Andra ghandi na makutano ya barabara ya morogoro, tunaendelea
kuwaabalisha kwa taarifa zilizopo mpaka sasa ni kuwa zimepatikana
maiti kumi na nne na Majeruhi 17 ambao wamekimbizwa hospitali, pia
inaemekana kifusi kimewafukia watu wapatao sabini kabla ya uokoaji,
kwa sasa juhudi za wokozi zinaendelea.

Picha:Teknolojia-yetu.blogspot.com