Wizi Wa Taa Za Magari

Kijana mmoja ambaye jina lake Halijafaamika amenusurika kufa muda huu
saa kumi na nusu(4:30) katika eneo la bunge jijini Dar baada ya kuwa
akijalibu kuiba taa za gari lililokuwa limepaki katika eneo hili.
Baada ya kukamatwa na raia na madereva waliopaki magari katika eneo
hili walianza kumpa kipigo hadi apo askari walipokuja kumuokoa.
AMechukuliwa na gari la polisi na kumpeleka kituoni