Uzinduzi Wa Mashina

Upokeaji wa wanachama wapya


Mwenyekiti Akifungua moja ya jiwe la msingi

Mwenyekiti K. W mbogo akihutubia mkutano






Mr. Mbogo na wananchi wakifuatilia mechi moja wapo ya mapumziko
Mwenyekiti wa vijana kupitia CCM mkoa wa katavi(UVCCM) Bwana Kelvin William Mbogo Amefanya ziara mkoa mzima wa katavi na kufungua mashina mapya, mikutano ya hadhara sambamba na kupokea wanachama wapya wa UVCCM mkoani humo.
Pia aliweza kuhuzuria mechi za mpira wa miguu zilizofanyika katika maeneo aliyotembelea.