Papa mpya Achaguliwa



Jesuit Cardinal Jorge Bergoglio wa Buenos Aires amechaguliwa kuongoza Wakatoliki billioni moja kama Papa Francis I.
Ni Baba Mtakatifu wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini. Kwenye hotuba yake ya kwanza amwombea Benedict, aomba Kanisa "litembee pamoja katika imani".
Ametoa baraka yake ya kwanza ya umma saa nne unusu EAT. Awaomba waumini wamwombee.Wachambuzi wasema Francis ni Papa "mnyenyekevu."
Francis Jorge Mario Bergoglio; 17 December 1936 is the 266th and current pope of the Catholic Church, elected on 13 March 2013. In that role, he is both the leader of the Catholic Church and Sovereign of the Vatican City State. From 1998 until his election as pope, he served as the Archbishop of Buenos Aires, and was created cardinal in 2001 by Pope John Paul II. Francis speaks Spanish, Italian, and German fluently.
Francis is the first Jesuit and the first Latin American to be elected Pope. He is the first non-European pope in 1200 years