Kila la Heri Taifa Stars

Kila la heri Taifa stars hapo kesho, kwenye mtanange wa kufuzu
michuano ya fainali za kombe la Dunia zitakazo fanyika mwaka 2014 Nchi
Brazil, Tanzania Inacheza kesho na Morocco katika mchezo ambao ni
muhimu kwa stars, Stars Ipo kundi C ikiwa na Timu za Ivory coast,
Gambia na Morocco.
Katika kundi C Ivory Coast inaongoza kwa Pointi 4, Tanzania 3, Morocco
2, Gambia 1 huku zote zikiwa zimesha cheza mechi Mbili mbili.
Tanzania mechi ya kwanza ilifungwa goli 2 bila n Ivory Coast kabla ya
Kuitungua Gambia 2-1 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Stars.