Lwakatare apata zamana na Kukamtwa tena.

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare ameachiwa
kwa dhamana baada ya kushikiliwa na jeshi la polisi kwa siku 6 kwa
tuhuma za uchochezi lakini akakamatwa tena muda huo huo kwa tuhuma za
ugaidi na kutakiwa kupelekwa ngazi ya juu ya Mahakama kwa kuwa
mahakama ya Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya ugaidi.


Source:ITV