Zurugu za Mbagala Kizuiani

Mkuu wa Dar Es Salaam,Said Meck Sadick,Kamanda wa Polisi kanda maalum
ya Dar Es Salaam Suleiman Kova na Sheikh wa Mkoa wa Dar Es Salaa,Alhaj
Musa Salum,wamewatak a waislam Jijini Dar Es Salaam kuacha Vurugu
zisizokuwa na tija kwakosa lililosababishw a na ubishani wa watoto
kuhusu Quran takatifu, jambo ambalo limesabaisha vurugu huko eneo la
Chamazi Mbagala ambapo magari yalivunjwa vioo na kuvunjwa kwa makanisa
Matatu.
Swali linakuja Makanisa yanausika na nini hapa?