Uamsho Waamsha Tena

Vurugu kubwa zimevuka tena eneo la Darajan Visiwani zilizo sababishwa
na Kikundi chenye msimamo mkali cha Uamsho baada ya taarifa kuzuka
kuwa kiongozi wao ametekwa na watu wasio julikana, na Jijini Dar Es
Salaam polisi wamelazimika kuwatawanyisha watu waliokusanyika kituo
cha polisi jutaka shekh wao aachiwe baada ya kukamatwa jana usiku kwa
madai ya kuhusika na vurugu za hivi karibuni.