JWTZ Wapita pita mitaani Kuangalia Usalama

Jeshi la wananchi wa Tanzania wakiongozwa na Jenerali Davis
Mwamunyange Wapita pita mitaa ya kariakoo kuangalia usalama yapatayo
magari makubwa matano yenye askari wapatao 20 kila gari walipita mitaa
hiyo. Huku Wafuasi wa shekh Ponda wataka kuelekea Ikulu kujisalimisha
huko, Askari wa kutuliza ghasia ndipo walipo anza kuwasambaratisha kwa
mabomu ya machozi.
Kwa sasa Askari wa JWTZ wapo maeneo ya Ikulu na wakati huu Rais Jakaya
Kikwete awasili kutoka Oman kwenye ziara yake.