Katibu Wa Bakwata Arusha Ajeruhiwa

Katibu wa BAKWATA Mkoa wa Arusha ABDULKARIM CHONJO amejeruhiwa vibaya
na amelazwa katika Hospitali ya Mount Meru baada ya nyumba yake
kulipuliwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni bomu usiku wa kuamkia leo.

Source: ITV