Hali Si Swari Jijini Dar Es Salaam

Hali imeendelea kuwa tete jijini dar es salaam, maeneo yote ya
kariakoo Posta maduka yamefungwa na imetangazwa kutokuwa na mkusanyiko
wa aina yoyote ule. Na inasemekana kuwa JWTZ wanaweza kuongeza nguvu
kwa polisi.