Ajali Jijini Mbeya

Ajali imetokea Jijini Mbeya eneo la Mbalizi na watu kumi wafari na
wengine 25 wajeruhiwa akiwamo mbunge wa viti maalum Mary Mwanjelwa,
ajali hiyo imesababishwa na lori la mafuta lililokata break na kuanza
kugonga magari mengine na mwisho kulipuka. Mungu azilaze mahali pepa
peponi roho za marehemu wote na awaponye majeruhi wote