Mauwaji Zanzibar

Imeripotiwa taarifa kuwa Imammu moja anaetambulika kwa jina la Ally Khamisi wa msikiti wa mkaazi mwakanje kidoto uliopo mkoa wa kaskazini Unguja ameuwawa kwa kupigwa na mapanga kinyama mkapa kufa. hatuhumiwa wa tukio hilo bado hawajakamatwa, tutaendelea kuwajuza zaidi.