Mkuu wa Mkoa wa Katavi.



 Hapo awali alikuwa mkuu wa wilaya ya Mpanda, ambapo baada ya uteuzi wa wakuu wapya wa mikoa na yeye aliteuliwa kuongoza mkoa Mpya wa katavi.
 Hapa ni picha ya pamoja Ikulu Jijini Dar es salaam baada ya kuapishwa. Kutoka kushoto ni Dk. Rajabu Rutengwe.
Akiwa na wakuu wa miko mipya ya, Geita Mh. Magalila S. Magalula,  Pascal Mabiti(Simiyu), na  Mh. Aseri masangi(Njombe).




Hapa Mkuu wa Mkoa Dk. R. Rutengwe akiwa na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda










Dk. Rutengwe Akiwa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Eng. S. Manyanya