Wananchi wa wilaya ya Mpanda wakiwa kwenye shughuli za kimaendeleo


Hapa ni katika soko kuu la mpanda upande wa vijana wanakouzia Mitumba.
 Huku ni katika upande wa kuuzia samaki, Kuna haja ya kuboresha kwa hali ya juu eneo hili, Sababu wafanya biashara katika mazingira magumu hasa wakati wa masika. Kuna haja ya kuwajengea soko la kisasa.
 Hapa ni upande wa wauza dagaa wakavu katika soko kuu la Mpanda mjini.
Ubovu wa barabara kutoka Mpanda mjini kuelekea karema ambako huzalishwa kwa wingi husababisha Kupanda kwa bei ya dagaa mara kwa mara.
Huduma za kisoko zikiwa zinaendela hapo. katika eneo la wauza dagaa