Hali ngumu ya kiwanja kikuu cha Mpira wa miguu(football) wa AZIMIO STADIUM Wilayani Mpanda Mkoa wa katavi.

 Hapo ni Mashabiki wakiangalia moja ya mechi katika uwanja wa Azimio wilayani mpanda
 Hili ni eneo la nje ya uwanja kwa upanda wa mashariki ya uwanja

 Ndani ya uwanja.











  

Huku ni ndani ya uwanja sehemu ya ukaguzi wa wachezaji kabla ya mechi.

 Huu ndo muonekano wa uwanja kwa juu.
 Pitch inahali nzuri sana lakini nyasi zilizopo pembeni yake zinatia wasiwasi. kunaweza kuwa Nyoka hata na wadudu wengine wenye sumu.
 Huo ndiyo muonekano wa Pitch
                                        Huu ni ubao wa matangazo
ambao hutumika kutoa taarifa mbali mbali.
 Hili ndo lango kuu.


Hapa ndipo dirisha la kukatia tiketi lilipo
Kutoka kana na hali ya uwanja ilivyo, je?? Wananchi kweli hata wachezaji watakuwa na moyo wa kujitolea kweli
Hiii ni changa moto kwa TFF na MUFFA ambao ndiyo wahusika wakuu katika swala zima la kusimamia michezo hapa nchini(TFF), na MUFFA(Wilaya).
Kwa hali iliyopo inabidi kuongeza bidii katika kuboresha viwanja vya michezo, hapa katika wilaya ya Mpanda na mkoa wa katavi kwa ujumla.