Cheki Video ya Moi G_hivi ni nini?

                                           Video imetengenezwa na Viper Empire Production.

Moi G ni msanii chipukizi kutoka Mpanda mjini. Ambaye amepata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi ya Azimio iliyopo mpanda mjini alimaliza darasa la saba mwaka 2006 baadae aliweza kujiunga na shule ya sekondari ya mwese ambapo alikuwa na mazingira magumu ya kusoma na hakuweza kumaliza elimu yake hapo.
Lakin Viper Empire Production ikiongozwa na CEO Michael Mazalla wameamua kuinua kipaji chake. kwa uweza wa mungu natumaini mafanikio yatapatikana.