Sherehe za Kumkabidhi mkoa mkuu mpya wa mkoa mpya wa katavi!

Hapa ni mkuu wa mkoa akiwa anaingika katika viwanja vya kashaulili na hapo alikuwa akisalimiana na wananchi.















Hapa mheshimiwa mkuu wa mkoa akiwa anaingia katika viwanja vya kashaulili kuendelea na sherehe.







Mambo ya kimila pia yalikuwepo katika makabidhiano ya mkoa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Rukwa Eng. S. Manyanya kwa Mkuu wa mkoa wa KAtavi Mh. R. Rutengwe.

Hapa Mh. ndugu R. Rutengwe akiwa amekalisha kuombewa dua na wazee.

Picha: 
  • Alex Milwano
  • Oswald Kikwala