Siku ya May Mosi kama kawaida Mpanda_Katavi hatukuwa nyuma

 Wanafunzi wa chuo cha ufundi stadi(Veta) wakiwa kwenye maandamano.

Huku mmoja akiwa na bango lenye ujumbe usemao UFUNDI STADI Ni AJIRA KWA VIJANA

Wafanyakazi wakiwa kwenye maandamano ya siku yao ya wafanya kazi.




Wanafunzi nao hawa kuwwambali kuonesha ushilikiano wao katika siku hii ya wafanyakazi duniani.







                     Kama kawaida ya VETA hawakuwa mbali kuonesha zana zao za kufanyia kazi


Kitaifa sherehe hizi zilifanyika Jijini Tanga katiaka uwanja wa Mkwakwani huku Mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Dk J.Kikwete


Picha:

  • Alex Milwano