Wananchi Wa Rukwa na Katavi Kukutana

Kwa Wale Wananchi wote wenye asili au wanaotokea Mkoa Wa Rukwa na mkoa
Mpya wa Katavi ambao wanaishi Dar na mikoa ya Karibu, Kutakuwa na
mkutano katika Chuo cha Ustawi wa Jamii Dar Es Salaam Ili kupanga
mikakati ya Uzinduzi wa Mkoa mpya wa Katavi. Kikao hicho kitafanyika
siku ya Jumapili tarehe 23/9/2012 Muda ni kuanzia Saa nane mchana
mpaka saa Kumi Jioni
Fika bila kukosa.