Waandishi wa Habari wafanya Maandamano.

Waandishi wa Habari jijini Dar-es-salaam leo wanafanya maandamano
asubuhi hii kuonesha masikitiko yao kwa kuuwawa kwa Mwandishi wa
habari Daudi Mwangosi aliyeuwawa na polisi mjini Iringa

Picha:EARadio