Wanafunzi kuandamana

Wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha(IFM) wanandama kupinga
unyanyasaji unaoendelea kufanyiwa na vibaka na wezi wa kigamboni. Hii
inakuja baada ya kamanda kova kuzungumza na wanafunzi siku ya ijumaa
na kufikia mikakani ya kukomesha hayo, sasa jana siku kumevamiwa
hostel na wanafunzi wengine kulawitiwa baada ya wezi hako kukosa cha kuiba

kwa sasa wanafunzi walioko kwenye mandamano wako wizara ya mambo ya ndani kuongea na
kamanda wa kanda maalum Suleman Kova. huku wakijiandaa kuvuka kuelekea kigamboni ambako ndio chimbuko la matukio yote.