Ndege Ya Tanapa Yapata Ajali

Ndege inayomilikiwana shirika la hifadhi za taifa ya wanyama pori
TANAPA yenye usajiri wa namba 5H-FZS yapata ajari muda wa saa kumi na
dakika 50 wakati ikiruka kutoka uwanja wa ndege wa Mkoani Katavi
Wilaya ya Mpenda. katika Runway namba 027 mita 300 kutoka kwenye
Fence(Uzio) wa uwanja huo.
Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria wanne, ni Rubani aliyejeruhiwa katika ajari hiyo na kuweza kupelekwa hospitali.
Picha: Nkwabi T. Kisanga