Askari Polisi Ajiuwa Baada Ya Kumjeruhi Mwanamke kwa Risasi

Kwa Habari zilizotufikia ni kuwa Askari Polisi wa Kituo cha polisi cha
mjini mpanda aliyeweza kufahamika kwa jina moja la Bwana Chacha
amefariki dunia baada ya kujipiga risasi kichwa hiyo imetokea baada ya
kumpiga risasi zinazokadiliwa kuwa mbili mwanamke ambaye walikuwa
wakigombea kiwanja walichouziwa, na tofari zilizo fyatuliwa kwenye
kiwanja hicho zadaiwa kuwa chanzo.