PICHA ZAIDI KIFO CHA ASKOFU KIKOTI WA JIMBO KUU LA KATOLIKI MPANDA



Makamu wa  Askofu Jimbo Katoriki Mpanda Padre Patrick Kasomo akiwatoa taalifa kwa waumini ya kuwafahamisha kifo cha Askofu wao Paschal Kikoti kilichotokea hapo jana katika Hospitari ya Bugando Jijini Mwanza ambapo mazishi yatafanyika siku ya juma mosi wiki hii ndani ya Kanisa la Parokia kuu Jimbo la Mpanda.
 Waumini wa Kanisa Katoriki Jimbo la Mpanda wakimlilia Askofu wao Paschal Kikoti mara baada ya kutangaziwa na makamu wa Askofu wa Jimbo la Mpanda Padri Patrick Kasomo kuwa Askofu Paschal Kikoti amefariki majira ya saa 2:30 usiku katika Hospitari ya Bugando hapo jana. Picha na Walter Mguluchuma Katavi Yetu.
Blogzamikoa
Chanzo: kataviyetu.blogspot.com