Ukusanyaji Maoni ya Katiba Mpya

Kijana akichangia maoni yake kwa njia ya maandishi.
Wananchi wakifuatilia mchakato mzima wa utoaji maoni.
Wananchi wa mpanda wakitoa maoni katika mchakato wa kukusanya maoni ya
uundwaji wa katiba mpya ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Mchakato huu umefanyika katika viwanja vya Kashaulili.

Kwa taarifa zaidi tembelea www.katiba.go.tz