SOMA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA BACHELOR T.I.A

Angalia na somamajina ya Wanafunzi walio chaguliwa Bachelor of Accountacy kujiunga na Chuo cha uhasibuhapa chini.
 
TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY
LIST OF ADMITTED STUDENTS - 2013
CAMPUS: DAR ES SALAAM
PROGRAMME: BACHELOR OF ACCOUNTANCY
GENDER: All
ENTRY TYPE: All
 
S/N Adm No.
Student Names
Sex Entry Type
1. 40233 ABDALLAH , HAMIDA F DIRECT
2. 40169 ABDALLAH , AMINA F DIRECT
3. 39470 Aboubakar , ASHURA F DIRECT
4. 40143 AHMED , AZIZA F DIRECT
5. 39653 Ahmed , Warda F DIRECT
6. 39458 ALLY , ZUHURA F DIRECT
7. 39743 ALLY , NAIMA F DIRECT
8. 39740 Ally , Riziki F DIRECT
9. 39543 Ally , Fatma F DIRECT
10. 39555 Andrew , Christina F DIRECT
11. 39616 ANDREW , SESILIA F DIRECT
12. 39552 anold , Lightness F DIRECT
13. 40187 ATHUMANI , JAMILA F DIRECT
14. 39567 Athumani , Zena F DIRECT
15. 39547 Ayeshi , Noela F DIRECT
16. 39438 baltazari , rose F DIRECT
17. 39527 Baltazary , Lilian F DIRECT
18. 39515 benjamin , janeth F DIRECT
19. 40266 BENJAMINI , VERDIANA F DIRECT
20. 39763 BIGANZI , GOODHOPE F DIRECT
21. 39677 BIGUZA , RAHABU F DIRECT
22. 39457 brighton , Tumpe F DIRECT
23. 39454 BUBERWA , JOSELINE F DIRECT
24. 39595 bukuku , lilian F DIRECT
25. 40158 CHALULA , JACKLINE F DIRECT
26. 39579 CHAO , WITNESS F DIRECT
27. 40179 CHAUREMBO , ANIA F DIRECT
28. 39506 CHILALE , ENELICA F DIRECT
29. 40242 CHONDO , ASHA F DIRECT
30. 39491 Chonga , Mtoo F DIRECT
31. 39672 Cosmas , Leticia F DIRECT
32. 40139 DANIEL , CATHERINE F DIRECT
33. 40264 DANIEL , JANETH F DIRECT
34. 39718 DAVID , DINNAH F DIRECT
35. 39429 DONATUS , EVA F DIRECT
36. 40168 ELIAS , VESTINA F DIRECT
37. 39530 Elisante , Rehema F DIRECT
38. 40208 EPONDA , BERNADETHA F DIRECT
39. 39614 ESSAU , SHARIFA F DIRECT
40. 39619 Ezekiel , Annakra F DIRECT
41. 40207 FAUSTINE , PASCHAZIA F DIRECT
42. 39593 Felix , Flora F DIRECT
43. 40299 GANDYE , NATASHA F DIRECT
44. 39525 GEOFFREY , NEEMA F DIRECT
45. 39423 george , sophia F DIRECT
46. 39474 GERSON , EVALINE F DIRECT
47. 39507 Godliving , Beatrice F DIRECT
48. 40166 GOGO , FATUMA F DIRECT
49. 39496 Gotora , Eston F DIRECT
50. 39495 Gration , Christina F DIRECT
51. 39538 HAMDAN , ASHURA F DIRECT
52. 39594 HAMISI , MOSSE F DIRECT
53. 40300 HAMISI , SHARIFA F DIRECT
54. 39762 hamisi , maria F DIRECT
55. 39487 Hape , Joyce F DIRECT
56. 39676 HASSAN , STUMAI F DIRECT
57. 39657 HASSANI , MWAHIJA F DIRECT
58. 39659 Hingi , Catherine F DIRECT
59. 40215 IDDY , MARIAM F DIRECT
60. 39439 Issa , Pili F DIRECT
61. 40182 ITONO , MARIA F DIRECT
62. 39679 JOHN , IMANI F DIRECT
63. 40227 JOHN , LEAH F DIRECT
64. 39451 john , melania F DIRECT
65. 40148 JULIAN , AGNES F DIRECT
66. 40147 JUMA , FARIDA F DIRECT
67. 39418 JUMA , ASHA F DIRECT
68. 40167 KAGIKA , BETH F DIRECT
69. 40135 KAISI , CATHERINE F DIRECT
70. 40188 KANDONGA , SCOLA F DIRECT
71. 39704 KARATTAH , FLORENCE F DIRECT
72. 39642 KARIGO , MWANAIDI F DIRECT
73. 39741 KASHMIR , ELIZABETH F DIRECT
74. 39578 Kassim , Najma F DIRECT
75. 40272 KASSOGA , ELIZABETH F DIRECT
76. 40140 KASWENDE , JULIETH F DIRECT
77. 40141 KATAMBA , LUCY F DIRECT
78. 40296 KATEGILE , ROSEMARY F DIRECT
79. 40219 KATO , ASIMWE F DIRECT
80. 39591 Kayowa , Matrida F DIRECT
81. 39526 Khatibu , Neema F DIRECT
82. 39489 KIBASO , ESTER F DIRECT
83. 39551 Kibwana , Fatma F DIRECT
84. 39674 Kidohela , Josephina F DIRECT
85. 39557 KIKAMBAKO , SARAH F DIRECT
86. 39472 kiliani , grasiana F DIRECT
87. 40200 KIMAMBO , DEBORA F DIRECT
88. 40184 KIMARO , ROSENEEMA F DIRECT
89. 39758 KIMARO , ASINA F DIRECT
90. 40297 KINGU , ROSE F DIRECT
91. 39528 KISANGA , LEAH F DIRECT
92. 40152 KITANGE , JACQUELINE F DIRECT
93. 39638 KOLOSONI , GETRUDA F DIRECT
94. 40156 KOMBA , NEEMA F DIRECT
95. 40226 KWEKA , JOLIN F DIRECT
96. 39431 KWILABYA , YUNGE F DIRECT
97. 39700 KYASHAMA , REHEMA F DIRECT
98. 40189 LAURENT , LUCY F DIRECT
99. 40317 LIMATA , KHIDAYA F DIRECT
100. 39720 Lugano , Esther F DIRECT
101. 40253 LUGENGA , MARIAM F DIRECT
102. 39420 Lyatuu , Giliad F DIRECT
103. 39475 mabula , sikujua F DIRECT
104. 39576 MADUNDO , RABIA F DIRECT
105. 39701 MADUNDO , SHAMSA F DIRECT
106. 40137 MAFITAH , HABIBA F DIRECT
107. 39682 MAGOGO , STELLAH F DIRECT
108. 39443 MAGOLI , FLORA F DIRECT
109. 39652 Magongo , Margareth F DIRECT
110. 39680 Magunguli , Gloria F DIRECT
111. 40203 MAKELEMO , WITNESS F DIRECT
112. 40133 Makuke , Rose F DIRECT
113. 40160 MAKUNDI , GLADNESS F DIRECT
114. 39596 Mallya , Happyness F DIRECT
115. 39517 Mange , Monica F DIRECT
116. 39597 MARANDU , COLETHA F DIRECT
117. 40221 MASAWE , ELIFRIDA F DIRECT
118. 39617 MASEBO , DESTA F DIRECT
119. 40252 MASHAURI , HAPPINESS F DIRECT
120. 40218 MASOLA , JANETH F DIRECT
121. 39545 MASSAWE , ROSEMARY F DIRECT
122. 39424 materu , alice F DIRECT
123. 39414 MAULID , ABDALLAH F DIRECT
124. 40291 MBINGA , HALIMA F DIRECT
125. 39422 Mbughi , Agness F DIRECT
126. 39473 MBUNDA , BENADETHA F DIRECT
127. 40142 MBWAMBO , LEAH F DIRECT
128. 39673 Mdoe , Elizabeth F DIRECT
129. 39761 Meshack , Martha F DIRECT
130. 40145 MFIKWA , JOYCE F DIRECT
131. 39445 MFINANGA , HANIFA F DIRECT
132. 39453 Mgalula , Francisca F DIRECT
133. 39719 mgaya , idda F DIRECT
134. 39485 Michael , Monica F DIRECT
135. 39637 MICHAEL , LILIAN F DIRECT
136. 39598 Migelayo , Faida F DIRECT
137. 39486 Milinga , Irrene F DIRECT
138. 39612 MILLANZI , ZUHURA F DIRECT
139. 39760 MINJA , HELLEN F DIRECT
140. 39488 MKASSI , MOSHI F DIRECT
141. 40161 MKEMBE , FARIDA F DIRECT
142. 39442 MLOWE , FRIDA F DIRECT
143. 40185 MMASSY , THERESIA F DIRECT
144. 40237 MOHAMED , FATUMA F DIRECT
145. 40283 MOHONDA , GRACE F DIRECT
146. 39430 Moshi , Martha F DIRECT
147. 40265 MPONDA , JACKLINE F DIRECT
148. 39556 MREMI , GLORY F DIRECT
149. 39615 MSABI , JENNIFER F DIRECT
150. 39572 Mshigheni , Gladness F DIRECT
151. 39636 MSIGWA , ATWENDILE F DIRECT
152. 40193 MSUKU , MECKLINE F DIRECT
153. 40247 MSUYA , NARIRA F DIRECT
154. 40225 MUHAMBA , MARTHA F DIRECT
155. 39476 Muhaya , Anita F DIRECT
156. 39544 MUNISI , glory F DIRECT
157. 39654 MUSA , ATUPAKISYE F DIRECT
158. 39520 Musa , Prisca F DIRECT
159. 39611 Mwaigwisya , Happy F DIRECT
160. 39444 mwaisanila , florence F DIRECT
161. 39621 Mwakajila , Agnes F DIRECT
162. 40194 MWAKAMBONJA , FELISTER F DIRECT
163. 39471 Mwakamsale , Lusajo F DIRECT
164. 39441 mwalongo , raphaela F DIRECT
165. 39564 Mwami , Angela F DIRECT
166. 40246 MWAMWAYA , BAHATI F DIRECT
167. 40162 MWANILELO , HAPPY F DIRECT
168. 40259 MWANJALI , JUDITH F DIRECT
169. 39771 mwanjati , oliver F DIRECT
170. 39415 MWANKUGA , TUMPALE F DIRECT
171. 39721 MWANSELE , SARAH F DIRECT
172. 40306 MWANYIKA , MAGRETH F DIRECT
173. 39671 mwinjuma , kuluthumu F DIRECT
174. 39546 Mwinyimvua , Asha F DIRECT
175. 39755 Nashon , Veronica F DIRECT
176. 39613 NASSOR , HABIBA F DIRECT
177. 39639 NDUNGURU , JACQUILINE F DIRECT
178. 40151 NGADADA , JOYCE F DIRECT
179. 40206 NGANDAMA , NKESHIYO F DIRECT
180. 39683 NGARAMA , FATUMA F DIRECT
181. 39640 NGENZI , MWATANO F DIRECT
182. 39548 NGOWI , ROSEMARY F DIRECT
183. 39703 Nicolaus , Jackline F DIRECT
184. 39599 NIMROD , Sara F DIRECT
185. 39537 Njau , Febronia F DIRECT
186. 39655 NKWAMA , NEEMA F DIRECT
187. 40258 NKWAMA , SILIVIA F DIRECT
188. 39724 NNKO , GLORY F DIRECT
189. 40229 NTUAH , MARGARETH F DIRECT
190. 39610 Nyambarya , Esther F DIRECT
191. 39467 NYAMBO , JACQUELINE F DIRECT
192. 39498 NYAMBO , FARAJA F DIRECT
193. 40307 NYAMBOGA , HERIETH F DIRECT
194. 39746 Nzarombi , Kagemuro F DIRECT
195. 39466 ODEMBA , SASI F DIRECT
196. 40281 PANDULA , GERMINA F DIRECT
197. 40286 PASCHAL , HELLENA F DIRECT
198. 39577 PASTORY , SOLILE F DIRECT
199. 39455 PEKEA , JUMA F DIRECT
200. 39759 Peter , Valentina F DIRECT
201. 39469 Ragita , Zamrata F DIRECT
202. 39618 rajabu , mwanahalifa F DIRECT
203. 40311 RAMADHANI , ASHA F DIRECT
204. 39723 Reuben , Janeth F DIRECT
205. 39620 ROBERT , FLORA F DIRECT
206. 40202 ROBERT , MARTHA F DIRECT
207. 39566 ROBERT , GAUDENSIA F DIRECT
208. 39468 RUGULIRA , FELISTER F DIRECT
209. 39702 RUWA , SHARIFA F DIRECT
210. 39490 RWAKIBARILA , DORICE F DIRECT
211. 40292 RWEGOSHORA , LYDIA F DIRECT
212. 39590 SAIDI , MARIAMU F DIRECT
213. 40276 SAIKONI , VICTORIA F DIRECT
214. 39678 SAMSON , EUNICE F DIRECT
215. 39563 Samwel , Kuyega F DIRECT
216. 39456 Samwel , Redempta F DIRECT
217. 40214 SANGAI , MAUREENROSE F DIRECT
218. 40243 SANGEZE , MIRIAM F DIRECT
219. 39757 SHEE , MILTONIA F DIRECT
220. 40155 SHEMNGA , LATIFA F DIRECT
221. 39745 Shemweta , Naumi F DIRECT
222. 39565 Suguri , Jenifa F DIRECT
223. 39675 Swai , Upendo F DIRECT
224. 40154 SWALO , SARAH F DIRECT
225. 40282 TAIRO , IRENE F DIRECT
226. 39656 temba , helena F DIRECT
227. 39770 TEMISONI , ELIZABETH F DIRECT
228. 39600 tete , devota F DIRECT
229. 39419 TIBESIGWA , AISILIZA F DIRECT
230. 39641 Uddu , Ntirukengwa F DIRECT
231. 39535 ulengo , nuru F DIRECT
232. 40173 ULLOMI , RACHEL F DIRECT
233. 39497 URIO , GODFREY F DIRECT
234. 40298 URIYO , MERCY F DIRECT
235. 39681 Venance , Neema F DIRECT
236. 39744 Venance , Magreth F DIRECT
237. 39531 VUAI , RAHMA F DIRECT
238. 39742 Vuriva , Happiness F DIRECT
239. 39722 William , Lilian F DIRECT
240. 40170 YEGELA , FORTUNATA F DIRECT
241. 39592 YUNGU , AGNES F DIRECT
242. 39658 Yusuph , Asha F DIRECT
243. 39747 Zombe , Mwajuma F DIRECT
244. 40132 ABDALLAH , HASSAN M DIRECT
245. 39766 ABDALLAH , MOHAMED M DIRECT
246. 39687 ABDUL , BUHARI M DIRECT
247. 39529 ADRIAN , VICTOR M DIRECT
248. 39609 AKYOO , NELSON M DIRECT
249. 39716 Allen , Meshack M DIRECT
250. 40180 ALLY , FAHDY M DIRECT
251. 39479 AMIRI , YAHYA M DIRECT
252. 39560 AMOSI , HAKIMU M DIRECT
253. 40198 ANDATA , DAVID M DIRECT
254. 40177 ANTHONY , BONIVENTURE M DIRECT
255. 39484 BAKARI , IDD M DIRECT
256. 40205 BARNABAS , COSTA M DIRECT
257. 40277 BARUTI , HELMUTI M DIRECT
258. 39632 BASHANGE , NICKSON M DIRECT
259. 39581 Baudi , Fedrick M DIRECT
260. 39558 Bebwa , Steven M DIRECT
261. 40238 BENJAMIN , BRIAN M DIRECT
262. 39587 BOAZ , AMOS M DIRECT
263. 39502 Bomba , Mustapha M DIRECT
264. 39765 Boyd , Emmanuel M DIRECT
265. 39694 BULUGU , MUSA M DIRECT
266. 40254 BWANGA , MOHAMED M DIRECT
267. 39661 chambala , yahya M DIRECT
268. 39647 CHARLES , INNOCENT M DIRECT
269. 39542 CHARLES , GELAYO M DIRECT
270. 40284 CHARLES , STEPHEN M DIRECT
271. 39540 CHARLES , JOHNSON M DIRECT
272. 40186 CHARLES , MAJALIWA M DIRECT
273. 39668 CHENYA , JOSEPH M DIRECT
274. 39666 Chiza , Jastine M DIRECT
275. 39505 CHOTER , WYCLIFE M DIRECT
276. 39669 CHURCHIL , FREDRICK M DIRECT
277. 40163 CONRAD , OSCAR M DIRECT
278. 39708 Elichilia , Harrison M DIRECT
279. 39748 Elisha , Melchizedek M DIRECT
280. 39436 Elphace , Moses M DIRECT
281. 40146 EMILI , BEATUS M DIRECT
282. 40313 EMMANUEL , NICKSON M DIRECT
283. 39688 ERASMI , DOUGLAS M DIRECT
284. 39586 Ewald , Justine M DIRECT
285. 39432 FADHIL , HAJI M DIRECT
286. 39606 FRANCE , DEOGRATIAS M DIRECT
287. 40222 GABRIEL , JAPHET M DIRECT
288. 39737 GEORGE , VINCENT M DIRECT
289. 40268 GIDIONI , SIMONI M DIRECT
290. 40150 GWAYA , MISAYO M DIRECT
291. 39536 HAJI , suleiman M DIRECT
292. 39624 hamis , halid M DIRECT
293. 40239 HAMISI , JUMA M DIRECT
294. 40164 HAMISI , IBRAHIMU M DIRECT
295. 39483 Hamisi , Abdilah M DIRECT
296. 40288 HARUNA , RAHIM M DIRECT
297. 39660 Hezron , Isaack M DIRECT
298. 40318 HOZZA , SILVANO M DIRECT
299. 39447 Hussein , Abdallah M DIRECT
300. 40312 HUSSEIN , SAIDI M DIRECT
301. 39603 isaya , Jastin M DIRECT
302. 39605 Ishengoma , Patrick M DIRECT
303. 39433 ISIHAKA , HATIBU M DIRECT
304. 40271 JAMA , JAMAL M DIRECT
305. 39511 JAMES , JOSHUA M DIRECT
306. 39541 JAMES , BENARD M DIRECT
307. 39608 JANKEY , ELIAH M DIRECT
308. 39650 JARIBU , JARIBU M DIRECT
309. 39554 JOACHIM , EMANUEL M DIRECT
310. 39607 JOEL , JOSEPH M DIRECT
311. 39580 JOHN , FRANK M DIRECT
312. 40192 JOHN , ERNEST M DIRECT
313. 39727 John , Elisha M DIRECT
314. 39693 johnson , nemes M DIRECT
315. 39690 Joseph , Ben M DIRECT
316. 39521 JOSEPH , JOHN M DIRECT
317. 39582 JOSEPH , STEPHANO M DIRECT
318. 40290 JOSEPH , JACKSON M DIRECT
319. 39628 julius , william M DIRECT
320. 40201 JUMA , JUMA M DIRECT
321. 40136 JUMA , ALPHONCE M DIRECT
322. 40230 JUSTINIAN , DICKSON M DIRECT
323. 39725 KAGONJI , SIMONI M DIRECT
324. 39625 kaizilege , mathew M DIRECT
325. 39434 KAJELY , MAGAFU M DIRECT
326. 40294 KALONGA , PHILBERT M DIRECT
327. 40267 KALUA , FLEISER M DIRECT
328. 39643 Kanyika , Levi M DIRECT
329. 39623 KANZA , GODLIVING M DIRECT
330. 39448 Kapinga , Zacharia M DIRECT
331. 40209 karani , frank M DIRECT
332. 39728 Karunde , Abdi M DIRECT
333. 39738 KASOGA , ISRAEL M DIRECT
334. 39732 KASONTA , WAKISA M DIRECT
335. 39717 Katabi , Emmanuel M DIRECT
336. 39522 KATO , GEORGE M DIRECT
337. 39463 Katundu , Jackson M DIRECT
338. 39575 kayembe , salum M DIRECT
339. 39635 Kayowa , Ally M DIRECT
340. 40310 KESSY , ANTHONY M DIRECT
341. 39559 Khamis , Mikidadi M DIRECT
342. 39480 KHAMISI , MOHAMMED M DIRECT
343. 40255 KIBALE , BARAKA M DIRECT
344. 39684 Kibukila , Adamu M DIRECT
345. 40269 KIJONJO , ALLY M DIRECT
346. 39705 kilenga , tito M DIRECT
347. 39630 KILENGA , ALBERT M DIRECT
348. 39667 Kilima , Matiko M DIRECT
349. 39626 KIMAMBO , DICKSON M DIRECT
350. 40228 KIMEI , VICENT M DIRECT
351. 39583 Kingu , Denis M DIRECT
352. 39417 KIRIA , SALVATORY M DIRECT
353. 39731 KIRIMA , GESCARD M DIRECT
354. 40134 KISHATO , ALPHONCE M DIRECT
355. 39532 Kitwana , Mohamed M DIRECT
356. 39571 KIWELU , FILBERT M DIRECT
357. 39644 Komba , Deograsias M DIRECT
358. 39573 Kujika , Silas M DIRECT
359. 39570 Kwaro , Deogratius M DIRECT
360. 40204 KYOMO , FREDRICK M DIRECT
361. 39464 Laida , Salumu M DIRECT
362. 39509 lawasare , Ezekiel M DIRECT
363. 40236 LEWIS , KELVIN M DIRECT
364. 39633 Limbe , Michael M DIRECT
365. 39665 Limota , Bahati M DIRECT
366. 40212 LIVINGSTON , DICKSON M DIRECT
367. 40245 LIWAMBA , FREDRICK M DIRECT
368. 39494 Lucas , Frank M DIRECT
369. 39518 LUMUMBA , MARANDU M DIRECT
370. 39549 LUPIMO , GULAYI M DIRECT
371. 40190 LYAMBA , ELIYA M DIRECT
372. 39461 mabula , sinda M DIRECT
373. 39645 MABULA , Paschal M DIRECT
374. 39585 Macha , Godfrey M DIRECT
375. 39648 MACHUMU , LAMECK M DIRECT
376. 40175 MAGANA , STEVEN M DIRECT
377. 39588 Maganga , Boniphace M DIRECT
378. 39516 MAHENGE , MICHAEL M DIRECT
379. 39735 MAJURA , JOHN M DIRECT
380. 39697 Makale , Omary M DIRECT
381. 39450 makame , hassan M DIRECT
382. 40181 MAKOMBE , JAMES M DIRECT
383. 40279 MAKUNDI , EDWARD M DIRECT
384. 39574 MALIMA , JACOB M DIRECT
385. 39767 MALIPULA , ABDDALLAH M DIRECT
386. 39670 MALWANA , EDSON M DIRECT
387. 39726 Manota , Boniphace M DIRECT
388. 40250 MAPESA , JOSEPH M DIRECT
389. 39729 MARWA , MARWA M DIRECT
390. 39499 MARZUIK , MARZUIK M DIRECT
391. 40178 MASAGA , FRANCIS M DIRECT
392. 39492 Masanja , Paul M DIRECT
393. 40285 MASIMA , GODFREY M DIRECT
394. 39751 Maskuzi , Yahaya M DIRECT
395. 39534 MASSAMU , SAMWEL M DIRECT
396. 40305 MASSAWE , SIEGFRED M DIRECT
397. 40213 MASSAWE , GODFREY M DIRECT
398. 39440 Masyenene , Moses M DIRECT
399. 39460 MATWIGA , CHARLES M DIRECT
400. 39482 Mawole , Siah M DIRECT
401. 39459 Mayage , Hagai M DIRECT
402. 39519 Mayagila , Halfani M DIRECT
403. 40262 MAYENGA , BENEDICTO M DIRECT
404. 39568 MBAGO , DAVID M DIRECT
405. 39713 MBELENJE , AHMADI M DIRECT
406. 40153 MBIKU , MUSTAFA M DIRECT
407. 39503 MBONDE , IDDI M DIRECT
408. 40280 MBOYA , LAWRENCE M DIRECT
409. 40131 MBUGI , HAMZA M DIRECT
410. 39437 MBUYA , EMMANUEL M DIRECT
411. 39649 Mchopa , Anthony M DIRECT
412. 39500 Merengo , Jeremiah M DIRECT
413. 39416 mfaume , sharifu M DIRECT
414. 39715 mfinanga , fredrick M DIRECT
415. 40159 MFOI , GODFREY M DIRECT
416. 39629 MGENDI , JONAS M DIRECT
417. 40223 MGENI , SAMWELI M DIRECT
418. 40191 MHAGAMA , GERALD M DIRECT
419. 40210 MHINA , MOHAMED M DIRECT
420. 39646 MINZI , JOHN M DIRECT
421. 40234 MJEMA , STUWART M DIRECT
422. 39425 MKANKULE , YOHANA M DIRECT
423. 39750 MKOBA , PETER M DIRECT
424. 39523 MLAGULWA , MIKO M DIRECT
425. 40260 MLANZI , NASSORO M DIRECT
426. 39706 MLAY , CALVIN M DIRECT
427. 40319 MLEKWA , SHABAN M DIRECT
428. 40256 MLELEU , ISACK M DIRECT
429. 39768 MNGOMA , PHILEMON M DIRECT
430. 39533 MNGULU , GEORGE M DIRECT
431. 39513 Mohamed , Salim M DIRECT
432. 39512 Mohamedi , Fadhili M DIRECT
433. 39707 MOHAMMED , ABDILLAH M DIRECT
434. 39508 MOSES , ANTONY M DIRECT
435. 40308 MOSHI , GIDION M DIRECT
436. 39634 Mossi , Nelson M DIRECT
437. 40231 MPONZI , NEMOS M DIRECT
438. 40232 MPUNGA , ENDRICK M DIRECT
439. 40261 MSHANA , ERICK M DIRECT
440. 40144 MSHUZA , CHRISTOPHER M DIRECT
441. 40302 MSIGWA , JOSEPH M DIRECT
442. 39753 msingo , maulid M DIRECT
443. 39754 MSUYA , GODFREY M DIRECT
444. 40165 MSUYA , HAMISI M DIRECT
445. 40244 MTANI , ERICK M DIRECT
446. 40241 MTAWA , GEOFREY M DIRECT
447. 40303 MTIBIRO , OMARI M DIRECT
448. 39692 Mtongoli , Mwita M DIRECT
449. 39501 MTONO , BLASI M DIRECT
450. 40316 MTUTA , TUMAINI M DIRECT
451. 39736 Mtweve , John M DIRECT
452. 39446 MTWEVE , GEORGE M DIRECT
453. 40289 MUNA , SHADRACK M DIRECT
454. 39622 MURO , CHRISTIAN M DIRECT
455. 39685 Muro , Steven M DIRECT
456. 40176 MUSA , MTESIGWA M DIRECT
457. 40240 MUSHI , SARIA M DIRECT
458. 40196 mushi , joseph M DIRECT
459. 39504 Muwonge , Cleopha M DIRECT
460. 39651 MVULA , CLAVERY M DIRECT
461. 39539 Mwakabaga , Nelson M DIRECT
462. 40273 MWAKABUNGU , IPYANA M DIRECT
463. 40314 MWAKIHABA , NISEGE M DIRECT
464. 39691 Mwalimu , Jumaa M DIRECT
465. 39686 MWAMBAJA , ANDREW M DIRECT
466. 39584 Mwamengo , Mateso M DIRECT
467. 39627 Mwanga , Gift M DIRECT
468. 39749 MWANSASU , PAUL M DIRECT
469. 39435 mwapwele , Grant M DIRECT
470. 40138 MWASHAMBWA , MTAULWA M DIRECT
471. 39664 MWASYEBULE , GRAYSON M DIRECT
472. 39589 MWENDA , PETER M DIRECT
473. 39739 mwenda , emmanuel M DIRECT
474. 39604 MWENDA , ABUBAKARI M DIRECT
475. 40157 MWINJUMA , ALLY M DIRECT
476. 39478 MWINYIWIWA , FAIDHINA M DIRECT
477. 39734 Mwombeki , Benedict M DIRECT
478. 39662 Mwonga , Yosia M DIRECT
479. 40263 MZEE , ALLY M DIRECT
480. 39698 Nahdi , bashir M DIRECT
481. 39696 Naligia , Baraka M DIRECT
482. 40304 NALOGWA , JOHN M DIRECT
483. 39689 NAPELETA , HAMIS M DIRECT
484. 40251 NASSOR , SEIF M DIRECT
485. 39449 NASSORO , ALLY M DIRECT
486. 40301 NDABA , MIKE M DIRECT
487. 40315 NDAKILAWE , JEROME M DIRECT
488. 40309 NDAYUWUNDI , EMMANUEL M DIRECT
489. 39452 NDIKA , SIMON M DIRECT
490. 40257 NDOSSI , DENNIS M DIRECT
491. 39730 NGAO , AMANI M DIRECT
492. 39562 NGAULA , JAFARI M DIRECT
493. 39712 NGIRWA , FIDELIS M DIRECT
494. 40249 NGOWI , INOCENT M DIRECT
495. 40199 NKAMIA , ISMAIL M DIRECT
496. 39561 Nyabagaka , Amos M DIRECT
497. 40195 NYALUKE , DAVID M DIRECT
498. 39524 NYASA , SYLVESTER M DIRECT
499. 40224 NYOMBI , SULEIMAN M DIRECT
500. 40183 NYONDO , CLOUD M DIRECT
501. 39510 Nzota , Zenobius M DIRECT
502. 39631 OMARY , FURAHA M DIRECT
503. 39699 OMELLA , TITUS M DIRECT
504. 40172 OWANGE , MARTIN M DIRECT
505. 39695 PAMBO , HAJI M DIRECT
506. 39553 peter , chrispin M DIRECT
507. 39421 Peter , Doctor M DIRECT
508. 39769 RANGE , STEPHANO M DIRECT
509. 39569 RAPHAEL , EGYDIUS M DIRECT
510. 40293 RASHIDI , ALLY M DIRECT
511. 39756 Rugina , Fredrick M DIRECT
512. 39663 sabas , Abraham M DIRECT
513. 39493 SAID , ABASSI M DIRECT
514. 40171 SAID , AHMAD M DIRECT
515. 40216 SAID , SAID M DIRECT
516. 40149 SALAKA , NSAJIGWA M DIRECT
517. 39733 SALIMU , HAJI M DIRECT
518. 40248 SAMKY , PANKRAS M DIRECT
519. 40270 SANGA , ELIUD M DIRECT
520. 39465 SEIF , MOHAMMED M DIRECT
521. 39710 SEMAMBE , MWAJUMA M DIRECT
522. 40235 SEME , HAROLD M DIRECT
523. 40278 SENKONDO , MICHAEL M DIRECT
524. 39426 SHEDELY , ALLY M DIRECT
525. 39427 Siao , Tumsifu M DIRECT
526. 40174 SIMON , DONALD M DIRECT
527. 40295 SINGA , ABUBAKARY M DIRECT
528. 40274 SOSPETER , CLAVERY M DIRECT
529. 39601 Soud , Hamad M DIRECT
530. 39481 Stanslaus , Emanuel M DIRECT
531. 39711 Steven , Deusdedith M DIRECT
532. 39462 SULTANI , SIMBA M DIRECT
533. 40220 TARIMO , FRANCIS M DIRECT
534. 40197 TEMBA , KELVIN M DIRECT
535. 40287 TEMU , KELVIN M DIRECT
536. 40211 TESHA , SIXBERT M DIRECT
537. 40217 THOMAS , FRANCIS M DIRECT
538. 39514 TOFIKI , IDDI M DIRECT
539. 39602 UPINGA , KASUNYA M DIRECT
540. 40275 VENANT , OJUKWU M DIRECT
541. 39709 WATSON , EMMANUEL M DIRECT
542. 39714 William , Tyson M DIRECT
543. 39550 WILLIAM , DENNIS M DIRECT
544. 39764 WILLIAM , EDGER M DIRECT
545. 39477 Zelemani , Josiah M DIRECT
546. 39428 ZUBERI , IDDI M DIRECT
547. 39752 Zumo , Richard M DIRECT
Angaliapia hapa http://arms-tia.ac.tz/forms/bachelor/BAC.htm

TFF YAMFUNGIA REFEREE KWA KUBORONGA MECHI.

Kamati ya ligi ya Shirikisho la soka Tanzania-(TFF)imemfungia mwamuzi Martin Saanya kuchezesha mechi katika kipindi cha mwaka mmoja kwa madai ya kushindwa kuumudu mchezo wa ligi kuu ya vodacom baina ya yangadhidi ya coastal union ya Tanga uliochezwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ambapo timu hizo zilitoshana nguvu baada ya kutoka sare ya bao 1-1.

Mwamuzi huyo amekumbana na adhabu hiyo kufuatia kikao cha kamati ya ligi kilichoketi mwishoni na wiki iliyopita kwa ajili ya kupitia ripoti mbalimbali za makamishna wa mechi ambapo mwamuzi huyo alizua kizazaa baada ya kuipa coastal union penati ya dakika za lala salama ambapo tukio hilo lilionekana kuwakera mashabiki wayanga ambao walivunja vioo vya basi la coastal union baada ya mchezo kumalizika.

Mbali na adhabu hiyo, kamati ya ligi pia imemfungia miezi mitatu na faini la shilingi moja kocha wa makipa wa coastal union Juma Pondamali Mensah kwa madai ya kuwatukana mashabiki wanaodhaniwa kuwa ni wa simba huku yanga ikipigwa faini ya shilingi milioni moja baada ya mashabiki wake kumrushia chupa za plastiki mwamuzi Martin Saanyawakati Coastakl Union ikitakiwa kulipa faini ya shilingi laki moja kwa kosa la kuchelewa kwenye kikao cha maandalizi ya mechi.

WILLIAM RUTO NA JOSHUA ARAP WASOMEWA MASHITAKA ICC

Naibu rais wa Kenya William Ruto pamoja na mshukiwa mwenzake Joshua Arap Sang wamesomewa mashtaka yanayowakabili katika mahakama ya kimataifa ya ICC

12:01 Upande wa mashtaka unasimulia ambavyo unapanga kuthibitisha kuwa kesi yao ni ya uhakika, ushahidi utakaotolewa , na nani atakayetoa ushahidi huo. Mashahidi inasemekana watawataja wahusika wengine kwenye kesi hiyohasa walioshirkiana na washtakiwa kuendesha

11: Upande wa mashtaka kupitia kwa wakili Steynberg umeiambia mahakama kuwa kila mshukiwa anakabiliwa na mashtaka matatu ya kuwalazimisha watu kuondoka makwao kwa lazima, mauaji na kuchochea ghasia

11:51 Bensouda aambia mahakama kuwa amekuwa na wakati mgumu sana kukusanya ushahidi wa kesi yake akisema kuwa wengi wa mashahidi wamejiondoa katika kesi hiyo wakisema wanahofia maisha yao na kuongeza kuwa baadhi pia wamehongwa ili wasitoe ushahidi wao

11:41 Fatou Bensuda mwendesha mkuu wa mashtaka katika mahakama hiyo aelezea mahakama kuhusu tuhuma zinazowakabili Ruto na Sang kwa kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007-2008. Bansuda amesema kuwa Ruto alifanya mauaji kwa sababu za kisiasa huku Sang akimsaidia kuchochea ghasia ili kumsaidia kufanikisha ajenda yake ya kuingia mamlakani

11:35 Joshua Sang pia amekanusha mashtaka yote dhidi yake

11:33 Ruto amekana mashtaka yotealiyosomewa na upande wa mashtaka kuwa alihusika na uhalifu dhidi ya binadamu , mauaji, dhulmana kuwaondosha watu makwao kwa lazimaRuto akiwa na Joshua Arap Sang wakati kesi dhidi yao ilipowasilishwakatika mahakama ya ICC

11:24 Naye Joshua alisomewa mashtaka dhidi yake ya kuchochea ghasia katika mkoa wa Rift Valley kwa kutumia kituo cha redio alichokuwa anafanyia kazi kueneza chuki na ukabila

11:23 Ruto asomewa mashtaka dhidi yake na kuambiwa kuwa alihusika na mauaji ya watu katika mkoa wa Rift Valley

11:20 Kesi dhidi ya mshukiwa mkuuwa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya Naibu Rais William Ruto imeanza kusikilizwa katika mahakama ya kimataifa ya ICC.

11:00 Wahusika wote kwenye kesi hii kutoka upande wa naibu rais Ruto, mshukiwa mwengine Joshua Arap Sang na upande wa mashtaka wake Fatou Bensauda walijitambulisha mahakamani kwa ombi la mmoja wa majaji kwenye jopo la majaji.








MELI YAPIGWA MOTO KISHA MABAHARIA KUJITOSA MAJINI.

Meli inayodaiwa kusajiliwa nchini Tanzania imekamatwa Italy ikiwa na mzigo wa dawa za kulevya(Bangi) unaokadiliwa kuwa na uzito wa tani 30 na thamani ya pesa za Tanzania Tshs 123 bilion. Soma zaidi hapa..........
http://josephlwinga.blogspot.com/2013/09/bungling-drug-smugglers-set-tanzania.html?m=1

WANAFUNZI WALIPULIWA NA BOMU

Taarifa kwa mujibu wa
ITV — Wanafunzi wawili
wa kidato cha kwanza
katika shule ya
sekondari Matombo
katika wilaya ya
Morogoro
wamejeruhiwa, baada ya
kulipukiwa na kitu
kinachosadikiwa kuwa ni
bomu, wakati wakitoka
shuleni.
Wanafunzi hao
waliojeruhiwa katika
sehemu mbalimbali za
miili yao ni Luciani
Juma (14) na Anthonia
Charles (15), wakazi wa
kijiji cha Konde, Tarafa
ya Matombo wilayani
Morogoro, ambapo
Luciani aliyelazwa katika
hospitali ya rufaa ya
mkoa wa Morogoro kwa
matibabu, ameiambia
ITV kuwa walikumbwa
na tukio hilo wakati
wakitokea shuleni,
ambapo njiani
walikutana na kitu
mfano wa balbu ya tochi
ambacho hata asubuhi
wakati wa kwenda shule
walikiona na kukipuuza,
ndipo mmoja
wawanafunzi alikirushia
ganda la muwa aliokuwa
akila, na kililipuka na
kutoa mshindo mkubwa.
Daktari anayemtibu
Lucien katika wadi
namba moja ya hospitali
ya rufaa ya mkoa wa
Morogoro, aliyejulikana
kwa jina moja Dk.
Francis amesema
majeruhi huyo
anaendelea vizuri, na
amepata majeraha katika
sehemu mbalimbali za
mwili wake ikiwemo
sehemu za siri, kwenye
paja na sehemu ya
nyonga na kwamba
katika maeneo hayo
walifanikiwa kutoa vitu
mfano wa chuma.
Kaimu kamanda wa
polisi mkoa wa Morogoro
John Laswai,
amethibitisha
kujeruhiwa kwa
wanafunzi hao, ambapo
majeruhi Anthonia
ametibiwa na
kuruhusiwa na kwamba
polisi wanaendelea na
uchunguzi zaidi kubaini
kitu kilichowajeruhi
wanafunzi hao, ambacho
kilitoa mshindo mkubwa
na mtawanyiko wa
vyuma, kama kilikuwa
ni bomu ama
vinginevyo.

JWTZ YATOA UFAFANUZI USHIRIKI WAKE CONGO NA KUKANUSHA UVUMI UNAOENEZWA NA BLOGS

JESHI la Ulinzi la
Wananchi wa Tanzania
limetoa taarifa ya
maendeleo ya wanajeshi
wanaoshiriki kulinda
amani kwa nchi
mwanachama wa maziwa
makuu Jamuhuri ya
Demokrasia ya Kongo
eneo la Goma.
Taarifa hiyo imetolewa na
msemaji wa Jeshi hilo
Meja Erick Komba
alipokuwa akiongea na
waandishi wa habari leo
jijini Dar es Salaam.
Meja Komba alisema
kuwa baadhi ya vyombo
vya habari na mitandao ya
Kijamii hususan "blogs"
kuandika taarifa zisizo
rasmi ambazo zinapotosha
umma kuhusu ushiriki wa
Jeshi la Tanzania katika
nchi ya Kongo.

Alieleza kuwa jeshi la
Tanzania linashiriki
kulinda amani Nchini
Kongo kutokana na Rais
wa nchi hiyo Mhe. Joseph
Kabila kuwasilisha ombi
katika kikao cha nchi za
maziwa makuu
kilichofanyika Julai 12
mwaka jana mjini Addis
Ababa, Ethiopia baada ya
waasi wa M23 kujitenga na
Serikali na kuanzisha
mapambano.
"Ushiriki wa Jeshi la
Tanzania katika kulinda
amani nchini Kongo
umetokana na ombi
liliwasilishwa na Rais Mhe.
Joseph Kabila kwa nchi
wanachama wa maziwa
makuu ambazo ni
Rwanda,Uganda,Tanzania
na DRC kusaidia kulinda
amani na kuwapokonya
waasi wa M23
silaha"alisema Meja
Komba.
Meja Komba aliongeza
kuwa, jeshi la Tanzania ni
sehemu ya SADC Standby
brigade iliyotoa mchango
wake katika jeshi la Umoja
wa Mataifa (MUNUSCO)
kinachofanya kazi chini ya
"Force Commonder"
ambapo majukumu yake
makubwa ni kuzuia waasi
kujitanua, kuvunja nguvu
za waasi na kuwapokonya
silaha makundi yote ya
waasi.

Naye Msemaji wa Serikali
ambaye pia ni Mkurugenzi
wa Idara ya Habari
Maelezo Bw. Assah
aliwaomba waandishi na
wadau mbalimbali wa
habari kuandika habari
zenye uhakika na ambazo
hazitapotosha umma.
"Nawaomba waandishi na
wadau wa habari tuwe
tunatoa taarifa zilizo
sahihi ili tusipotoshe
umma ukizingatia jeshi
letu lipo huko kwa ajili ya
kulinda amani na siyo
kupigana na M23," alisema
Mwambene.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi
Kikosi cha Tanzania kiko
chini ya MUNUSCO ambao
ndio wanaoendesha
operasheni ya kulinda
amani na Tanzania
haipigani na M23 wala
haina tatizo na Rwanda
kuhusiana na operesheni
hiyo.
Pia Rwanda imesaidia
Tanzania kwa kuruhusu
kikosi kupitisha watu, vifaa
na zana kuelekea
Jamuhuri ya Kidemokrasia
ya Kongo.







WABUNGE WA KENYA WAKUBALI KENYA KUJITOA ICC

Baada ya mjadala mkali Jana bunge la kenya lilipitisha mswaada wa kuitaka kenya kujiondoa katika mkataba wa Roma unaounda mahakama ya kimataiafa ya uhalifu wa jinai- ICC.
Hatua hii inakuja wakati Naibu rais William Ruto akijiandaa kuelekea Katika makao makuu ya mahakama hiyo mjini Heague Uholanzi kukabiliana na kesi ya uhalifu dhidi ya binadamuBaadhi ya wabunge wa upinzani nchini Kenya waliondoka kwa hasira bungeni wakati mjadala huo ulipokuwa unaendelea.
Wabunge hao waliondoka baada ya kusema kuwa kamwe hawataunganana upande wa serikali kuunga mkono hoja hii ya kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC.

Ni kutokana na kuwa kwamba upinzani una idadi ndogo zaidi ya wabunge bungeni.Wengi waliounga mkono hoja hiyo walikuwa wabunge wa muungano tawala wa Jubilee unaoongozwa na vigogo Rais Uhuru Kenyata na naibuwake William Ruto.
Naibu kiranja wa wabunge wa upinzani bungeni Jakoyo Midiwo, alisema kuwa wabunge wa upande wa serikali wanaotetea hoja hii ya kujiondoa Hague watakuja kujuta.
Mjadala huu unatokana na hatua ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kukabiliwa na kesi za uhalifu dhidi ya binadamu katika mahakama hiyo wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007-2008 Hatua hii ya wabunge pia inakuja ikiwa imesalia chini ya wiki moja kabla ya kuanza kwa kesi dhidi ya naibu Rais wa Kenya Williiam Ruto kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi mwaka 2008.
Ruto anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.
Rais Uhuru Kenyatta pia anatarajiwakufika katika mahakama hiyo mweziNovemba kwa kesi dhidi yake.Wawili hao wanashtakiwa kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mwishoni mwa mwaka 2007.
Msemaji wa ICC ameambia BBC kuwa kesi hiyo itaendelea hata ikiwa Kenya itajiondoa kwenye mkataba wa Roma uliopelekea kuanzishwa kwa mahakama hiyo.
Bwana Fadi El Abdallah, alisema kuwa itachukua karibu mwaka mmoja kwa mchakato wa nchi yoyote ile kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC na hii bila shaka inaathiri tu kesi zilizokuwa mbele ya mahakama hiyo kwa wakati huo.
Hii ni hatua ya dharura inayochukuaserikali kujitoa katika Mkataba wa Roma wa mahakama hiyo ulioidhinishwa na Umoja wa mataifamnamo tarehe 17 July, mwaka1998.Kenya inataka kutoa mfano wa kuwanchi ya kwanza Afrika kuchukua hatua hiyo licha ya kwamba uamuzi huu hautoathiri kwa namna yoyote kesi zinazoendelea sasa katika mahakama ya ICC.
Mahakama hiyo ya kimataifa imesema kwamba kesi hizo zitaendelea hata iwapo Kenya itajitoa.Imesema itaichukua Kenya kiasi ya mwaka mmoja kabla ya kukubaliwa ombi hilo la kutaka kujiondoa katikamkataba wa Roma na hilo litaathiri tu kesi zitakazozuka baada ya muda huo.

Haya yanajiri wakati makamu wa rais William Ruto anatarajiwa kuondoka Kenya kueleka Hague Uholanzi wiki ijayo kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadaamu katika mahakama hiyo ya ICC, kesi inayoanza tarehe 10 mwezi huu.
Wote wameshtakiwa kwa kuhusika katika ghasia zilizojiri baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.
Kesidhidi ya rais Uhuru Kenyatta inatarajiwa kuanza tarehe 12 mweziNovemba.












BUNGE LACHAFUKA LEO

Maendeleo (Chadema) wametoka nje leo baada ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Mhe. Freeman Mbowe kuamriwa atolewe nje na Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai.

Mbowe alisimama ili achangie lakini aliamriwa na Job Ndugai kukaa chini jambo ambalo hakuliafiki na kuendelea kusimama.

Baada ya tukio hilo, Ndugai aliwaamuru askari wa bunge kumtoa nje Kiongozi huyo wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na ndipo mzozo ulipotokea. Hali hiyo ilitokea wakati wa Majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Mabadiliko ya Katiba wa Mwaka 2013.

Mbowe aligoma kutolewa nje ya bunge baada ya askari kufikaalipokuwa amekaa kwa lengo la kumtoa nje, ndipo ilipotokea sintofahamu na mzozo mkubwa ndani ya bunge hali iliyopelekea wabunge wote wa Chadema kutokanje.

Hali kama hii pia ilitokea jana wakati muswada wa marekebisho ya pili ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 ukisomwa na kupelekea wabunge wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi kutoka nje wakishinikiza muswada huo usisomwe hadi maoni ya wadau kutoka Zanzibar yapatikane.

AFUNULIWA USO KWA KUNG'ATWA NA BOSI WAKE

KATIKA hali isiyokuwa ya
kawaida mkazi wa Kijiji
cha Nyabibuye Kakongo
katika Wilaya ya Kibondo
mkoani Kigoma, Susuluka
(16) anadaiwa kujeruhiwa
vibaya usoni na bosi
wake, Imani Paulo (36)
kwa kung'atwa ng'atwa
usoni na kisha
kunyofolewa macho, pua
na meno kubaki nje, kama
ambavyo anaonekana
pichani.

Tukio hilo ambalo
tunaweza kulifananisha
na dunia kuelekea kufika
mwisho, limegusa hisia za
watu wengi hasa wakazi
wa Kibondo, huku
wengine wakitokwa na
machozi kutokana na
kuguswa na ukatili ambao
amefanyiwa kijana
huyo.

Tunaweza kufikiria
kuwa tukio hilo ni sinema,
lakini Mkuu wa Wilaya ya
Kibondo, Venance
Mwamotto, ameliambia
Majira kuwa tukio hilo
limetokea miezi miwili
iliyopita.

Akizungumza na Majira
katika mahojiano
maalumu, Mwamotto,
alisema kuwa kabla ya
kijana huyo kujeruhiwa
na bosi wake, alimtuma
dukani ili akamnunulie
soda. Aliliambia Majira
kuwa baada ya kufika
nyumbani alimkuta bosi
wake akiwa amemkaba
koo mbwa na kutokana na
maumivu aliyokuwa
akiyapata mbwa huyo,
alianza kuhema akitoa
ulimi nje.

DC Mwamotto alisema
kuwa mtuhumiwa huyo
ghafla alianza kuung'ata
ulimi wa mbwa na kisha
kumeza vipande jambo
lililosababisha mbwa huyo
kupiga kelele kutokana na
maumivu. Aliongeza kuwa
aliendelea kula vipande
vya ulimi huo wa mbwa
hadi alipoumaliza.

"Unaweza kusema kuwa
ni uongo, lakini ni tukio la
kweli kabisa kwani
mshtakiwa huyo
aliendelea kula ulimi wote
wa mbwa, huku kijana
huyo akiendelea
kumshangaa bosi wake
kutokana na kitendo hicho
kilichosababisha mbwa
huyo kufa,"Wakati
akiendelea kumshangaa
bosi wake ghafla
alimrukia na kumkamata
kwa nguvu na kuanza
kumng'ata kama mtu
anayetafuna hindi la
kuchoma.

"Mshtakiwa huyo alianza
kumtafuna jicho moja na
kufuatia jicho la pili na
kisha kumeza vipande vya
macho huku akiendelea
kumshika kwa nguvu,"
alisema DC Mwamotto
wakati wa mahojiano na
Majira.
Baada ya kumaliza
kitendo hicho alisema
kuwa mshtakiwa huyo
alianza kumng'ata pua na
kisha kumeza na vipande.

Alisema kuwa wakati
anaendelea na kitendo
hicho majeruhi huyo
alikuwa akipiga kelele za
kuomba msaada, lakini
mshtakiwa huyo alianza
kumng'ata tena kipande
cha mdomo wa chini na
kisha kusababisha meno
kubaki nje.

"Kutokana na
kelele hizo wananchi
waliamua kusogea karibu,
lakini walikuta tayari,
Susuluka amejeruhiwa
vibaya usoni huku damu
zikimtoka kwa wingi,"
alisema.

Mwamotto alisema kuwa
kutokana na hali hiyo
wananchi walimvamia na
kumpiga na kumpeleka
katika Kituo cha Polisi cha
Kibondo na majeruhi
walimkimbiza katika
Hospitali ya Wilaya ya
Kibondo.

Majira iliendelea na
mahojiano hayo ambapo,
mshtakiwa huyo
alifikishwa katika
Mahakama ya Wilaya na
kufunguliwa mashtaka ya
kudhulu mwili."Hivi sasa
mshtakiwa yupo katika
Gereza la Nyamisivi
Kibondo, lakini cha
kusikitisha tena akiwa
huko alimng'ata na kula
vipande vya nyama vya
mguu mshtakiwa
mwenzake," alisema.

Alisema kuwa mshtakiwa
mwenzake alimjeruhi
vibaya na kupelekwa
hospitalini hali
iliyosababisha mshtakiwa
huyo kutengwa na
washtakiwa
wenzake.

"Mimi
nimelazimika kwenda hadi
gerezani na kufanya
mahojiano na mshtakiwa
huyu, kwani hili tukio
linasikitisha sana lakini
cha ajabu alitaka
kufahamu je ameshtakiwa
kwa makosa gani ya kuua
mbwa au kumng'ata mtu,"
alisema.

Alisema kuwa pia
amelazimika kwenda
kumjulia hali majeruhi
huyo ambapo madaktari
katika hospitali hiyo
walishindwa
kumtibia.

"Nimeomba
msaada kutoka Wizara ya
Afya ili mgonjwa huyu
akatibiwe India na tayari
maandalizi yameanza
kufanyika kwa
kushirikiana na Hospitali
ya Kibondo," alisema.
Mwamotto alisema kuwa
mgonjwa huyo hana pua,
macho yamefumba,
mdomo kwa kujeruhiwa
vibaya usoni hali ambayo
anahitaji matibabu
zaidi.

Amewaomba
Watanzania kumsaidia
kijana huyo ili aweze
kwenda kutibiwa haraka
nje pamoja na kupata
msaada mbalimbali kwa
kuwasiliana na mganga
mkuu wa hospitali ya
Kibondo ama kuwasiliana
na Mhariri mtendaji wa
gazeti hili la Majira.
Source: Majira
















WANAJESHI WA JWTZ WALIOKUWA LIKIZO WAITWA MAKAMBINI

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesitisha wapiganaji wake kwenda likizo na kuwaita waliokuwa likizo kurudi makambini. Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani kabisa vya kiinteligensia vijulikanavyo kama'KAINZI'uamuzi huo umeenda sambamba na kuweka hali ya utayari wa kijeshi (military readiness) kufikia asilimia 50; katika hali ya utulivu na amani nchini hali ya utayari wa kijeshi inakuwa kwenye asilimia 25 hivi.

Kwa mujibu wa chanzo changu hicho ambacho kimekuwa kikifuatilia mwitikio wa vyombo vyetu vya usalama kufuatia kuongezeka kwa hali ya utete katika eneo la maziwa mazuri vikosi vya jeshi nchini kufikia jana vilikuwa vimesomewa taarifa hiyo ya kusitisha likizo na hata pasi za kutoka makambani huku maafisa wake ambao walikuwa nje ya vituo vyao vya kazi wakitakiwa kurudi makambini. Uamuzi huu hata hivyo haijawa wazi kama unahusu wapiganaji wote nchini au wa Brigedia za Tabora au Brigedia za vikosi maalum.
Baadhi ya vikosi vilisomewa taarifa hiyo jana.


Kwa mujibu wa chanzo hicho cha kuaminika Brigedia za Tembo na Kifaru (Tabora) tayari zimepewa maagizo ya kuwa katika hali ya utayari endapo watahitajika kufanya'movement'yoyote ya kijeshi."Unajua tangu sakata la Rwanda vyombo vyetu vya usalama na inteligensia vimeona kuwa kuna sababu ya msingi ya kujiweka katika hali ya utayari wa kijeshi"kilisema chanzo hicho. Akizidi kufafanua mtoa habari huyo amemdokeza mwandishi kuwa japo jambo hili limetokea wakati huu wa utete hata hivyo ni kawaida pia kwa jeshi kujiweka katika hali ya mazoezi wakiigiza hali ya kivita (war simulation) na hivyo watu wasije wakasoma mengi katika hili.

Nilipojaribu kufuatilia zaidi na kwa kina habari hizi inaonekana kuwa kuna taarifa za kiusalama ambazo pia zinasababisha uamuzi huu kuchukuliwa.

Pamoja na uamuzi huu habari hizi zinadokeza pia kuwa JWTZ linaweza kuwaita baadhi ya reserve ili kuliongezea nguvu. Kwa kawaida kama ilivyokuwa kabla ya Vita ya Kagera baadhi ya maafisa wanaoweza kuongeza nguvu jeshini ni pamoja na wale kutoka vyombo vingine vya usalama kama Polisi, Mgambo, Magereza, n.k ambavyo vinaweza kutakiwa kutoa idadi fulani ya watu kujiunga na JWTZ.


Wakati wa Vita ya Kagera kuongeza nguvu jeshi kulilipatia jeshi nguvu ya kufikia watu 100,000 ndani ya wiki chache tu na hivyo kulifanya kuwa miongoni mwa majeshi makubwa ya wakati huo katika Afrika. Pamoja na kujipatia watu kutoka vyombo vingine JWTZ pia linaweza kufungua milango yake kwa watu wanaojitolea kujiunga (volunteers).

Pamoja na maamuzi hiyo vyanzo vyetu vinataarifu kuwa hata wapiganaji wa JWTZ ambao walikuwa wanaandaliwa kwenye shughuli mbalimbali za kulinda amani nao wamesitishwa sasa hivi na wanapelekwa kwenye moja ya mikoa iliyoko mpakani kwa sababu ambazo mtoa habari wetu hakutaka kuziweka wazi mara moja.

Hata hivyo hadi hivi sasa hakuna uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kuelekea maeneo yenye migogoro. Tutaendelea kuwaletea taarifa mpya kwa kadiri tukavyozipata.

Source: Jamii Forum

KATAVI WACHEZEA KICHAPO TOKA RUKWA

Rukwa imeanza vizuri michuanoya Copa Coca-Cola kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 baada ya leo kuichapa Katavi mabao 4-0 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Shule yaSekondari Iyunga jijini Mbeya.

Mabao ya washindi yalitiwa wavuni na Tumaini Boniface dakika ya 13 na 65, Francisco Mkanga akipachika la pili dakika ya 29 wakati la mwisho lilifungwa dakika ya 75 na Innocent Ahombile.

Katika kituo cha Zanzibar, wenyeji Mjini Magharibi imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kaskazini Pemba kwa mabao ya Faisal Salum na Masoud Mohamed.

Mechi ya pili katika kituo hicho ilikuwa kati ya Kusini Pemba na Kusini Unguja. Bao pekee lililofungwa na Othman Abdallah lilitosha kuipa ushindi wa 1-0 timu ya Kusini Pemba.

ARSENAL, GARETH BALE WAVUNJA REKODI USAJILI ULAYA

Kunako siku ya mwisho kwa
vilabu vya mpira wa miguu
kukamilisha usajili wa
wachezaji klabu ya Arsenal
imeafikiana na mchezaji
Mesut Ozil wa Ujerumani
anayechezea klabu ya Real
Madrid kwa kitita cha pauni
za Uingereza milioni £42.4.

Kwa mujibu wa taarifa
zilizopatikana, klabu ya
Arsenal imekubaliana na
Real Madrid kuilipa pauni za
Uingereza milioni £42.4m
sawa na Euro milioni 50
kumsajili Mjerumani Mesut
Ozil.

Kijana huyo menye umri wa
miaka 24 amefikia
makubaliano na Arsenal
kuhusu maslahi yake binafsi
ingawa sharti apitie
mchakato wa vipimo vya
afya yake kabla ya Arsenal
kukamilisha usajili ambao
katika historia ya klabu hio
haujawahi kufanyika
kumsajili mchezaji kwa zaidi
ya pauni milioni 22.

Kwa wakati huu Ozil yuko
pamoja na kikosi cha Timu
ya Taifa ya Ujerumani na
itabidi afanyiwe vipimo
huko huko Ujerumani.

Kwa kipindi cha msimu wa
likizo na usajili wa
wachezaji Arsenal
imeshindwa kuwasajili
wachezaji wa kiwango
anachokitaka Arsene Wenger
kama mshambuliaji wa
Liverpool Luis Suarez na
Gonzalo Higuain, mchezaji
mwingine aliyekua huko
Real Madrid.
Lakini kwa sasa yumkini Ozil
anaelekea uwanja wa
Emirates kufuatia usajili wa
Gareth Bale kwa kitita
kikubwa cha pauni milioni
85.3.
Kabla ya kujiunga na Real
Ozil alikua akichezea klabu
ya Werder Bremen
alikosajiliwa na Real kwa
takriban pauni milioni 12.4
na kuichezea Real mara 155.

Wakati Arsenal ikijitahidi
kusajili kabla ya dakika ya
mwisho ya shughuli ya
usajili Liverpool pia
imetiliana saini na
Mamadou Sakho na Tiago
Ilori kwa jumla ya pauni
milioni 25.

Sakho mwenye umri wa
miaka 23 ameichezea Timu
ya Taifa ya Ufaransa mara
14 France na amegharimu
pauni milioni £18m kutoka
klabu ya Paris St-Germain.

Ilori alizaliwa mjini London
na ameiwakilisha Timu ya
Ureno ya vijana ingawa
bado anaweza kuiwakilisha
England.

Liverpool haikuishia hapo
ila imemzoa Mnaijeria
Victor Moses kutoka
Chelsea.

Mshambuliaji huyo alifunga
mabao 10 akishiriki mechi
42 za Cheslea lakini
amekabiliwa na ushindani
mkali wa kuweza kuingia
uwanjani kufuatia usajili wa
mcheza kiungo kutoka Brazil
Willian, Mjerumani Schurrle
pamoja na mkongwe wa
Cameroon Samuel Eto'o.

Real Madrid imevunja
rekodi ya dunia ya
uhamisho wa wachezaji kwa
kumsajili mshambuliaji wa
Tottenham Gareth Bale.

Mchezaji huyo wa kimataifa
wa Wales ametia saini
mkataba wa kuichezea Real
Madrid wa miaka 6 kwa
kununuliwa kitita cha pouni
milioni 85,3.

Rekodi iliyokuwepo ilikuwa
ya Cristiano Ronaldo
aliponunuliwa na Real
Madrid toka Manchester
United kwa pouni milioni 80
mwaka 2009.

"nilikuwa na furaha ya
miaka 6 niliyochezea
Spurs,lakini huu ni wakati
mwafaka kwangu kusema
kwa heri "alisema Bale
mwenye umri wa miaka 24.

Bale aliyeshinda tuzo ya
mchezaji bora wa msimu
uliopita katika ligi kuu ya
England alijiunga na
Tottenham kutoka
Southampton kwa pouni
milioni 10 mwaka 2007 na
alifunga magoli 26 msimu
uliopita.

MWANAJESHI ALIYEUAWA NA M23 AAGWA.

JESHI la Ulinzi la Wananchi
wa Tanzania (JWTZ),
limeleezea namna
mwanajeshi wake, Meja
Khatibu Shaaban Mshindo,
alivyouawa baada ya
kuangukiwa na bomu,
wakati akiwa katika jukumu
la ulinzi wa amani nchini
Jamhuri ya Kidemokrasia
ya Kongo (DRC).

Pamoja na hayo,
Watanzania wametakiwa
kuimarisha mshikamano
na kuachana na makundi
yenye nia ya kuleta
mgawanyiko, hasa katika
kipindi hiki kigumu
ambacho Tanzania
imepoteza askari wake
waliopewa dhamana ya
kitaifa ya ulinzi wa amani
katika nchi zenye migogoro
Afrika.

Akitoa salamu za
rambirambi wakati askari
huyo wa kikosi cha Mizinga
namba 83 KJ kilichopo
Kibaha akiagwa rasmi
kijeshi Dar es Salaam jana,
Mkuu wa Majeshi ya
Ulinzi, Jenerali Davis
Mwamnyange, alisema
askari huyo pamoja na
askari watano wa
Tanzania, waliangukiwa na
bomu hilo na kujeruhiwa
vibaya.

“Waliangukiwa na bomu
Agosti 28, mwaka huu
huko Goma DRC eneo
walilokuwa wakifanyia
kazi… Meja Mshindo
aliumia vibaya na kukutwa
na mauti njiani akipelekwa
hospitalini,” alisema
Jenerali Mwamunyange.
Alisema katika tukio hilo,
askari wengine watano wa
Tanzania walijeruhiwa
vibaya na wanaendelea
vizuri na matibabu nchini
humo na hali zao
zinaendelea vizuri.

Akimzungumzia Meja
Mshindo, Jenerali
Mwamunyange alisema
katika uhai wake alikuwa
mchapakazi, muaminifu,
hodari na mtiifu na kifo
chake kimetokea wakati
jeshi linamhitaji.

“Kifo chake kimeacha
pengo ndani ya JWTZ na
itachukua muda mrefu
kuziba pengo hili.” Waziri
wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa,
Bernard Membe, alisema
kifo cha askari huyo ni
msiba wa kitaifa na
kumtaja Meja Mshindo
kuwa shujaa aliyekutwa na
mauti wakati akitekeleza
kazi aliyotumwa na nchi
yake.

Alisema kifo hicho pamoja
na vifo vya askari wengine
saba wa JWTZ vilivyotokea
Darfur mwaka huu, ni
chachu kwa Tanzania
kuendeleza jitihada za
kusaidia nchi zenye
migogoro na kuhamasisha
amani Afrika.

“Serikali inapata
matumaini namna
Watanzania walivyosimama
pamoja na kuunga mkono
jeshi letu katika kipindi
hiki kigumu. Ingekuwa nchi
nyingine, haya yaliyotokea
yangeleta mgawanyiko
mkubwa miongoni mwa
raia, lakini kwa hapa kwetu
hali imekuwa tofauti,”
alisema Membe.

Aliwataka wachache wenye
mawazo ya kutumia
matukio hayo kuwagawa
Watanzania, waache mara
moja nia yao hiyo, kwa
kuwa moja ya kazi ambayo
Tanzania inayo, ni pamoja
na nia yake ya
kuhamasisha na kutangaza
amani Afrika na dunia kwa
ujumla.

“Jamani wajibu wetu ni
kuhakikisha haya maeneo
yenye migogoro yanakuwa
na amani, kule DRC hali ni
mbaya, watu wanakufa kila
kukicha na akinamama na
watoto wanabakwa na
kudhalilishwa, sasa sisi
kama taifa ni vyema
kujitokeza na kusaidia
wenzetu,” alisisitiza.

Meja mshindo, alizikwa
jana nyumbani kwao Fujoni
Zanzibar na ameacha mke
mmoja, Hawa Mnimbo na
watoto watatu ambao ni
Shaaban, Abuu na Samir
Mshindo