Hali imeendelea kuwa tete jijini dar es salaam, maeneo yote ya
kariakoo Posta maduka yamefungwa na imetangazwa kutokuwa na mkusanyiko
wa aina yoyote ule. Na inasemekana kuwa JWTZ wanaweza kuongeza nguvu
kwa polisi.
Uamsho Waamsha Tena
Vurugu kubwa zimevuka tena eneo la Darajan Visiwani zilizo sababishwa
na Kikundi chenye msimamo mkali cha Uamsho baada ya taarifa kuzuka
kuwa kiongozi wao ametekwa na watu wasio julikana, na Jijini Dar Es
Salaam polisi wamelazimika kuwatawanyisha watu waliokusanyika kituo
cha polisi jutaka shekh wao aachiwe baada ya kukamatwa jana usiku kwa
madai ya kuhusika na vurugu za hivi karibuni.
na Kikundi chenye msimamo mkali cha Uamsho baada ya taarifa kuzuka
kuwa kiongozi wao ametekwa na watu wasio julikana, na Jijini Dar Es
Salaam polisi wamelazimika kuwatawanyisha watu waliokusanyika kituo
cha polisi jutaka shekh wao aachiwe baada ya kukamatwa jana usiku kwa
madai ya kuhusika na vurugu za hivi karibuni.
Kumbukumbu Ya Mwalimu
Tuangalie Baadhi ya hotuba za Mwalimu Nyerere alizozifanya wakati wa uhai wake.
Kumbukumbu Ya Mwalimu.
Tuta kukumbuka kwa mambo yako yote, ulipinga ufisadi kukemea ukabila
na udini, kutoa elimu bure na mambo mengi
"Julius Kambarage Nyerere (13 April 1922 –14 October 1999) was
aTanzanian politician who served as the first Presidentof Tanzania and
previously Tanganyika, from the country's founding in 1961 until his
retirement in 1985.
Born in Tanganyika to Nyerere Burito (1860–1942), Chief of the Zanaki
Nyerere was known by the Swahili name Mwalimu, his profession prior to
politics. He was also referred to as Baba wa Taifa.
Pumzika kwa amani,
Zurugu za Mbagala Kizuiani
Mkuu wa Dar Es Salaam,Said Meck Sadick,Kamanda wa Polisi kanda maalum
ya Dar Es Salaam Suleiman Kova na Sheikh wa Mkoa wa Dar Es Salaa,Alhaj
Musa Salum,wamewatak a waislam Jijini Dar Es Salaam kuacha Vurugu
zisizokuwa na tija kwakosa lililosababishw a na ubishani wa watoto
kuhusu Quran takatifu, jambo ambalo limesabaisha vurugu huko eneo la
Chamazi Mbagala ambapo magari yalivunjwa vioo na kuvunjwa kwa makanisa
Matatu.
Swali linakuja Makanisa yanausika na nini hapa?
ya Dar Es Salaam Suleiman Kova na Sheikh wa Mkoa wa Dar Es Salaa,Alhaj
Musa Salum,wamewatak a waislam Jijini Dar Es Salaam kuacha Vurugu
zisizokuwa na tija kwakosa lililosababishw a na ubishani wa watoto
kuhusu Quran takatifu, jambo ambalo limesabaisha vurugu huko eneo la
Chamazi Mbagala ambapo magari yalivunjwa vioo na kuvunjwa kwa makanisa
Matatu.
Swali linakuja Makanisa yanausika na nini hapa?
Fujo Zazuka Mbagala
Fujo za zuka Mbagala na Polisi walazimika kutumia mabomu ya machozi
kutawanya wananchi Mbagala baada ya mtoto mmoja kumnyang'anya mwenzake
kitabu cha Dini ya kiislamu na kukikojolea.
kutawanya wananchi Mbagala baada ya mtoto mmoja kumnyang'anya mwenzake
kitabu cha Dini ya kiislamu na kukikojolea.
Dr. Ulimboka Anena
Dk Ulimboka aibuka ajipanga kuanika waliomteka
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania,
Dk Steven Ulimboka ameibuka na kusema yuko imara na anajiandaa kuanika
waliomteka, kumtesa na kisha kumtupa katika Msitu wa Pande, nje kidogo
ya Jiji la Dares Salaam.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Dk Ulimbokaalisema kamwe hajanunuliwa
na kwamba ukimya wake wa muda mrefu umetokana na kufuatilia kwa karibu
masharti ya matibabu yake na si vinginevyo.
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania,
Dk Steven Ulimboka ameibuka na kusema yuko imara na anajiandaa kuanika
waliomteka, kumtesa na kisha kumtupa katika Msitu wa Pande, nje kidogo
ya Jiji la Dares Salaam.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Dk Ulimbokaalisema kamwe hajanunuliwa
na kwamba ukimya wake wa muda mrefu umetokana na kufuatilia kwa karibu
masharti ya matibabu yake na si vinginevyo.
Rick Ross Ndani Tanzania The Land Of Kilimanjaro
Msanii kutoka Marekani Rick Ross a.k.a the Boss amefika Tanzania kwa
ajili ya Kutumbuisha a.k.a kukamua katika show ya Serengeti Fiesta
2012 ambayo yafanyika katika Viwanja vya Leaders Club hapo kesho
tarehe 6/10/2012. Na amethibitisha kufika kwake kwa kupitia account
yake ya Twitter
Picha: www.shaffihdauda.com
ajili ya Kutumbuisha a.k.a kukamua katika show ya Serengeti Fiesta
2012 ambayo yafanyika katika Viwanja vya Leaders Club hapo kesho
tarehe 6/10/2012. Na amethibitisha kufika kwake kwa kupitia account
yake ya Twitter
Picha: www.shaffihdauda.com
Ajali Jijini Mbeya
Ajali imetokea Jijini Mbeya eneo la Mbalizi na watu kumi wafari na
wengine 25 wajeruhiwa akiwamo mbunge wa viti maalum Mary Mwanjelwa,
ajali hiyo imesababishwa na lori la mafuta lililokata break na kuanza
kugonga magari mengine na mwisho kulipuka. Mungu azilaze mahali pepa
peponi roho za marehemu wote na awaponye majeruhi wote
wengine 25 wajeruhiwa akiwamo mbunge wa viti maalum Mary Mwanjelwa,
ajali hiyo imesababishwa na lori la mafuta lililokata break na kuanza
kugonga magari mengine na mwisho kulipuka. Mungu azilaze mahali pepa
peponi roho za marehemu wote na awaponye majeruhi wote
Ajari Ni Popote
Kweli Ajari ni popote hii ilitokea katika Mto Katuma eneo la Sitalike
Darajani Mkoani Katavi Wilaya ya Mlele, kama Unaingia hifadhi ya Taifa
ya Katavi
Dereva wa gari dogo(pichani) alilielekezea gari mtoni ambako wamejaa
Viboko ili kuepusha kugongana na Lori lililokuwa likipita darajani kwa
wakati huo kutokana na ufinyu wa daraja kutoruhusu gari zaidi ya moja
kupita kwa wakati. Hakuna mtu aliyefariki kulikuwa na majeruhi tu
Darajani Mkoani Katavi Wilaya ya Mlele, kama Unaingia hifadhi ya Taifa
ya Katavi
Dereva wa gari dogo(pichani) alilielekezea gari mtoni ambako wamejaa
Viboko ili kuepusha kugongana na Lori lililokuwa likipita darajani kwa
wakati huo kutokana na ufinyu wa daraja kutoruhusu gari zaidi ya moja
kupita kwa wakati. Hakuna mtu aliyefariki kulikuwa na majeruhi tu
Auric Air Yaanza Safari za Mpanda
AURIC AIR SERVICES LTD.
ITAFANYA SAFARI ZAKE KATIKA MAENEO HAYA.
NEW SCHEDULE OCTOBER2012. MBEYA: 10 FLIGHTS A WEEK. SONGEA: 5 FLIGHTS
A WEEK. SUMBAWANGA: 3 FLIGHTS A WEEK. MPANDA: 2 FLIGHTS A WEEK.
KIGOMA: 9 FLIGHTS A WEEK. BUKOBA: 9 FLIGHTS A WEEK. IRINGA: 7 FLIGHTS
A WEEK. RUBONDO: 7 FLIGHTSA WEEK. SERENGETI: 7 FLIGHTS A WEEK.
WOTE MNAKARIBISHWA
ITAFANYA SAFARI ZAKE KATIKA MAENEO HAYA.
NEW SCHEDULE OCTOBER2012. MBEYA: 10 FLIGHTS A WEEK. SONGEA: 5 FLIGHTS
A WEEK. SUMBAWANGA: 3 FLIGHTS A WEEK. MPANDA: 2 FLIGHTS A WEEK.
KIGOMA: 9 FLIGHTS A WEEK. BUKOBA: 9 FLIGHTS A WEEK. IRINGA: 7 FLIGHTS
A WEEK. RUBONDO: 7 FLIGHTSA WEEK. SERENGETI: 7 FLIGHTS A WEEK.
WOTE MNAKARIBISHWA
Mikopo ya Wanafunzi Elimu Ya Juu Wiki hii Kutolewa na HESLB
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) itaanza kupeleka fedha za wanafunzi katika vyuo kuanzia wiki hii.
Ahadi hiyo ilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, George Nyatega, alipozungumza na NIPASHE.
Nyatega alisema jumla ya wanafunzi 29,113 wa elimu ya juu nchini kutoka
vyou mbalimbali waliochaguliwa kupata mkopo, fedha zao zitaanza
kupelekwa kuanzia wiki hii.
Nyatega alisema baada ya kutoa majina hayo,bodi ya wakurugenzi
ilitarajiwa kukutana Jumamosi kufanya tathmini kisha fedha zao zianze
kupelekwa vyuoni.
Hata hivyo alisema kwa mwaka huu idadi ya walioomba mikopo imeongezeka
tofauti na mwaka jana na kuongeza kuwa changamoto kubwa inayowakabili ni
ufinyu wa bajeti.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Rwekaza Mukandara,
jana aliiambia NIPASHE kuwa chuo hichi kimekubaliana na HESLB kwamba
kuanzia Alhamisi wiki hii fedha zitapelekwa.
Chanzo:NIPASHE
chuotanzania.blogspot.com
Shilole Achafua Mashabiki Wake
| Hii ndiyo post ya Shilole |
| Comment ya moja wa mashabiki wake |
| Jibu alilotoa Shilole |
na kali ya Msanii Shilole kutukana mashabiki wake katika Facebook.
Swali lilibaki kwangu kuwa ile account ya Shilole Facebook ni yake au?
Lakini baada ya mashabiki kumjibu alijaribu juomba ladhi.
Kweli ni Kioo cha jamii????????????
Pamoja FM
kurusha matangazo yake Rasmi kwa masafa ya fm 98.5 Tune radio Yako
mpaka hapo kwa Wakazi wa Mpanda uweze kusikiliza Radio ya nyumbani.
Kuongezeka kwa Radio ya Tano (5) Pamoja Fm baada ya hapo mwanzo kuwa
na RFA, TBC Taifa, TBC fm na Radio Maria. Sasa kutazidi kufungua
mianya ya uwekezaji na Kufahamika kwa Mkoa mpya wa katavi
Ni Pamoja FM 98.5
Wananchi Wa Rukwa na Katavi Kukutana
Kwa Wale Wananchi wote wenye asili au wanaotokea Mkoa Wa Rukwa na mkoa
Mpya wa Katavi ambao wanaishi Dar na mikoa ya Karibu, Kutakuwa na
mkutano katika Chuo cha Ustawi wa Jamii Dar Es Salaam Ili kupanga
mikakati ya Uzinduzi wa Mkoa mpya wa Katavi. Kikao hicho kitafanyika
siku ya Jumapili tarehe 23/9/2012 Muda ni kuanzia Saa nane mchana
mpaka saa Kumi Jioni
Fika bila kukosa.
Mpya wa Katavi ambao wanaishi Dar na mikoa ya Karibu, Kutakuwa na
mkutano katika Chuo cha Ustawi wa Jamii Dar Es Salaam Ili kupanga
mikakati ya Uzinduzi wa Mkoa mpya wa Katavi. Kikao hicho kitafanyika
siku ya Jumapili tarehe 23/9/2012 Muda ni kuanzia Saa nane mchana
mpaka saa Kumi Jioni
Fika bila kukosa.
TCU yatoa Majina Ya Waliochaguliwa kujiunga na vyuo viwango vyao vya mkopo pamoja na Waliokosa
SELECTED APPLICANTS FOR THE 2012/2013ADMISSIONSThe Tanzania Commission
for Universities(TCU) in Collaboration with the NationalCouncil for
Technical Education (NACTE) isannouncing the names of Applicants who
were seleted into various programs forthe 2012/2013 Admissions.
However, weshall announce the list of someapplicants who were
selected into variousprograms but obtained no loan,applicants who were
returned by some institutions, and selected applicants whoasked for
transfer, will be announcedbefore 21 September 20121.
1. To view selectedApplicant with no loan/Waliochaguliwa wakakosa
mkopo http://www.tcu.go.tz/uploads/file/SELECTED%20APPLICANTS.pdf
2. To view selected Applicant with loan but subject to verification
with heslb/ Waliochaguliwa wakapata mkopo
http://www.tcu.go.tz/uploads/file/LOANS%20SUBJECT%20TO%20VERIFICATION.pdf
Source: www.heslb.go.tz
for Universities(TCU) in Collaboration with the NationalCouncil for
Technical Education (NACTE) isannouncing the names of Applicants who
were seleted into various programs forthe 2012/2013 Admissions.
However, weshall announce the list of someapplicants who were
selected into variousprograms but obtained no loan,applicants who were
returned by some institutions, and selected applicants whoasked for
transfer, will be announcedbefore 21 September 20121.
1. To view selectedApplicant with no loan/Waliochaguliwa wakakosa
mkopo http://www.tcu.go.tz/uploads/file/SELECTED%20APPLICANTS.pdf
2. To view selected Applicant with loan but subject to verification
with heslb/ Waliochaguliwa wakapata mkopo
http://www.tcu.go.tz/uploads/file/LOANS%20SUBJECT%20TO%20VERIFICATION.pdf
Source: www.heslb.go.tz
Waandishi wa Habari wafanya Maandamano.
Waandishi wa Habari jijini Dar-es-salaam leo wanafanya maandamano
asubuhi hii kuonesha masikitiko yao kwa kuuwawa kwa Mwandishi wa
habari Daudi Mwangosi aliyeuwawa na polisi mjini Iringa
Picha:EARadio
asubuhi hii kuonesha masikitiko yao kwa kuuwawa kwa Mwandishi wa
habari Daudi Mwangosi aliyeuwawa na polisi mjini Iringa
Picha:EARadio
Kifo Cha Mwandishi wa Habari
Vurugu kubwa zilizuka jana katika eneo la Nyororo wilayani Mufindi
kati ya polisi na wafuasi wa Chadema, baada ya askari hao
kusambaratisha mkutano wa chama hicho nakusababisha kifo cha mwandishi
wa habari na watu kadhaa kujeruhiwa.
Mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi
anadaiwa kuuawa kwa bomu lililorushwa na polisi katika vurugu hizo.
Awali, inadaiwa kuwa mwandishi huyo alishambuliwa kwa marungu na
Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), kabla ya bomu hilo
kumjeruhi vibaya tumboni na kusababisha kifo chake.
Mmoja wa mashuhuda wa tukio, alisema wakati mwandishi huyo
akishambuliwa na polisi, mmoja wa askari wa jeshi hilo aliwazuia
wenzake kuendelea kumpiga akiwaeleza kuwa anamfahamu kuwa ni mwandishi
wa habari, huku akimkumbatia.
Shuhuda huyo alidai kwamba jitihada za askari huyo hazikusaidia, kwani
baada ya kutupwa kwa bomu hilo lililosababisha utumbo wa mwandishi
huyo kutoka nje, polisi huyo naye alijeruhiwa mguu.
Hata hivyo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso alikana polisi
kumuua mwandishi huyo akidai kwamba kilichosababish a kifo chake
nikitu kilichorushwa na wananchi ambapo alisema polisi inakichunguza.
Vurugu hizo ziliibuka baada ya polisi kufika Nyororo na kuwataka
viongozi wa Chadema pamoja na wafuasi wao kutawanyika kwa kuwa
walikuwa hawaruhusiwi kufanya mkusanyiko wowote kutokana na amri
iliyotolewa na jeshi hilo awali.
Polisi mkoani Iringa jana asubuhi walilipiga marufuku kufanyika kwa
maandamano na mikutano yote ya halaiki ya kisiasa mpaka hapo Sensa ya
Watu na Makazi itakapokamilika baada ya kuongezwa wiki zaidi.
Hata hivyo, pamoja na amri hiyo Chadema kilifanya mkutano wilayani
Mufindi kitendo ambacho polisi walisema ni kinyume cha sheria.
Source: Star Tv
kati ya polisi na wafuasi wa Chadema, baada ya askari hao
kusambaratisha mkutano wa chama hicho nakusababisha kifo cha mwandishi
wa habari na watu kadhaa kujeruhiwa.
Mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi
anadaiwa kuuawa kwa bomu lililorushwa na polisi katika vurugu hizo.
Awali, inadaiwa kuwa mwandishi huyo alishambuliwa kwa marungu na
Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), kabla ya bomu hilo
kumjeruhi vibaya tumboni na kusababisha kifo chake.
Mmoja wa mashuhuda wa tukio, alisema wakati mwandishi huyo
akishambuliwa na polisi, mmoja wa askari wa jeshi hilo aliwazuia
wenzake kuendelea kumpiga akiwaeleza kuwa anamfahamu kuwa ni mwandishi
wa habari, huku akimkumbatia.
Shuhuda huyo alidai kwamba jitihada za askari huyo hazikusaidia, kwani
baada ya kutupwa kwa bomu hilo lililosababisha utumbo wa mwandishi
huyo kutoka nje, polisi huyo naye alijeruhiwa mguu.
Hata hivyo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso alikana polisi
kumuua mwandishi huyo akidai kwamba kilichosababish a kifo chake
nikitu kilichorushwa na wananchi ambapo alisema polisi inakichunguza.
Vurugu hizo ziliibuka baada ya polisi kufika Nyororo na kuwataka
viongozi wa Chadema pamoja na wafuasi wao kutawanyika kwa kuwa
walikuwa hawaruhusiwi kufanya mkusanyiko wowote kutokana na amri
iliyotolewa na jeshi hilo awali.
Polisi mkoani Iringa jana asubuhi walilipiga marufuku kufanyika kwa
maandamano na mikutano yote ya halaiki ya kisiasa mpaka hapo Sensa ya
Watu na Makazi itakapokamilika baada ya kuongezwa wiki zaidi.
Hata hivyo, pamoja na amri hiyo Chadema kilifanya mkutano wilayani
Mufindi kitendo ambacho polisi walisema ni kinyume cha sheria.
Source: Star Tv
Ajali Ya Lori.
Ajali ya lori kubwa lilobeba magogo imetokea maeneo ya mgahawa wa
Bismillah karibu na kanisa la Anglican. Taarifa zaidi zitafuata
Picha kwa hisani ya: Majaliwa Rubuye
Bismillah karibu na kanisa la Anglican. Taarifa zaidi zitafuata
Picha kwa hisani ya: Majaliwa Rubuye
PICHA ZAIDI KIFO CHA ASKOFU KIKOTI WA JIMBO KUU LA KATOLIKI MPANDA

Makamu wa Askofu Jimbo Katoriki Mpanda Padre Patrick Kasomo akiwatoa taalifa kwa waumini ya kuwafahamisha kifo cha Askofu wao Paschal Kikoti kilichotokea hapo jana katika Hospitari ya Bugando Jijini Mwanza ambapo mazishi yatafanyika siku ya juma mosi wiki hii ndani ya Kanisa la Parokia kuu Jimbo la Mpanda.
Waumini wa Kanisa Katoriki Jimbo la Mpanda wakimlilia Askofu wao Paschal Kikoti mara baada ya kutangaziwa na makamu wa Askofu wa Jimbo la Mpanda Padri Patrick Kasomo kuwa Askofu Paschal Kikoti amefariki majira ya saa 2:30 usiku katika Hospitari ya Bugando hapo jana. Picha na Walter Mguluchuma Katavi Yetu.
Blogzamikoa
Chanzo: kataviyetu.blogspot.com
WACHINA WAFUMWA WAKICHIMBA MADINI KATAVI NATIONAL PARK
MKUU wa mkoa wa Katavi, Dr Rajabu Rutengwe amewataka wawekezaji wanaokwenda kuwekeza katika sekta ya madini katika mkoa wa Katavi wawasiliane na ofisi za serikali mkoani humo kabla ya kuingia katika mikataba ya uendeshaji wa shughuli za uzalishaji katika maeneo husika
Mwandishi wa habari hii kutoka Katavi Willy Sumia anaripoti kuwa wito huo umetolewa na mkuu kufuatia utapeli waliofanyiwa wawekezaji wa kutoka nchi ya China na kampuni yao ya Red Ore Mining Co. Ltd ya DSM na kupelekwa eneo la pori la akiba la Luafi mpakani na hifadhi ya Taifa ya Katavi kwa ajili ya kuendesha shughuli za uchimbaji wa madini ya chuma na shaba.
Taarifa zinasema kuwa kampuni hiyo yenye makao yake jijini DSM inayoendeshwa na Raia wa nchi ya China ilianza shughuli katika eneo hilo katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita hadi jana walipofika askari wa wanyamapori wa Pori la akiba la Rukwa / Lukwati/ Luafi na hifadhi ya Taifa ya Katavi kuwaamuru waondoke katika eneo hilo kwakuwa ni eneo lilitengwa kwa ajili ya uhifadhi wa mazingira na ustawi wa wanyama pori.
Askari hao walipozungumza na waandishi wa habari walisema kuwa awali walipowakuta raia hao wa China waliweza kuwahoji na kubaini kuwa walikuwa wameingizwa eneo hilo kimakosa na ofisi ya hifadhi hiyo iliwaandikia barua yenye Kumb Namba RLLGR/LGR.1/72/14 ya tarehe 06/06/2012 iliyokuwa akiwapa amri ya kuondoka eneo ndani ya siku saba tangu tarehe ya barua hiyo lakini hawakuweza kutekeleza agizo hilo
Askari hao wa wanyamapori walisema kutokana na kushindwa kutii agizo hilo waliamua kufika eneo husika kuwachukua viongozi wa kampuni hadi ofisi ya Mkuu wa mkoa kwa maamuzi zaidi kwani walibaini kuwa walipewa taarifa za uongo na mtu aliyewauzia hilo eneo kwani hilo eneo na eneo lisilotakiwa kufanyiwa shughuli yoyote ile
Walisema hata barua walizojibiwa na Katibu Mkuu wa wizara ya Maliasili na Utalii yenye kumbukumbu namba HB 178/286/01/102 iliyosainiwa na ndugu J. Muya kwa niaba ya Katibu mkuu wa wizara hiyo ya tarehe 20/06/2012 pamoja na ile iliyotoka kwa wakala wa misitu Tanzania (TFS) yenye kumbukumbu namba TFSC.166/286/01/29 ya tarehe 25 Juni, 2012 ikieleza kuwa eneo hilo waliloomba kwa barua siyo eneo linaloruhusiwa kwa kufanya shughli yoyote ya kibinadamu isipokuwa kwa utafiti wa mafuta, gesi au madini ya uraniamu tu
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao na Wachina wamiliki wa Kampuni ya RedOre Mining Co. Ltd, mkuu wa mkoa wa Katavi, Dr Rajabu Rutengwe alisema kuwa katika mazungumzo na wawekezaji hao alibaini kuwa walitapeliwa na mtu aliyewauzia eneo hilo baada ya kuona kuwa eneo hilo haliruhusiwi kwa shuguli yoyote.
Alisema kutokana na hali iliyojitokeza inabidi sheria ichukue mkondo wake na huku wawekezaji hao wakiwa nje ya hifadhi kwani tayari eneo hilo limeshaharibiwa na kuingiza hasara kubwa Taifa hivyo ili kuepusha malalamiko ya kuwa wageni hao wameonewa na Watanzania hivyo mahakama ndiyo itakayoamua nani kakosea, wapi na namna gani kakosea ili kulinda utawala bora.
Akizungumzia juu ya aliyewatapeli wawekezaji hao mkuu wa mkoa alisema wao ndio wanamfahamu aliyewauzia na wanafahamu watampata wapi hivyo ni jukumu la wawekezaji kumtafuta wamuawajibishe kwa kuwatapeli ambapo mkuu huyo wa mkoa alitoa ushauri kwa wawekezaji wengine wasiingie mkataba na mmiliki yeyote wa ardhi katika mkoa wa Katavi bila kuwasiliana na Halmashauri au ofisi ya madini ya kanda ya Magharibi iliyoko mjini Mpanda kwa ushauri na msaada wa taarifa za eneo husika.
Askari hao walipozungumza na waandishi wa habari walisema kuwa awali walipowakuta raia hao wa China waliweza kuwahoji na kubaini kuwa walikuwa wameingizwa eneo hilo kimakosa na ofisi ya hifadhi hiyo iliwaandikia barua yenye Kumb Namba RLLGR/LGR.1/72/14 ya tarehe 06/06/2012 iliyokuwa akiwapa amri ya kuondoka eneo ndani ya siku saba tangu tarehe ya barua hiyo lakini hawakuweza kutekeleza agizo hilo
Askari hao wa wanyamapori walisema kutokana na kushindwa kutii agizo hilo waliamua kufika eneo husika kuwachukua viongozi wa kampuni hadi ofisi ya Mkuu wa mkoa kwa maamuzi zaidi kwani walibaini kuwa walipewa taarifa za uongo na mtu aliyewauzia hilo eneo kwani hilo eneo na eneo lisilotakiwa kufanyiwa shughuli yoyote ile
Walisema hata barua walizojibiwa na Katibu Mkuu wa wizara ya Maliasili na Utalii yenye kumbukumbu namba HB 178/286/01/102 iliyosainiwa na ndugu J. Muya kwa niaba ya Katibu mkuu wa wizara hiyo ya tarehe 20/06/2012 pamoja na ile iliyotoka kwa wakala wa misitu Tanzania (TFS) yenye kumbukumbu namba TFSC.166/286/01/29 ya tarehe 25 Juni, 2012 ikieleza kuwa eneo hilo waliloomba kwa barua siyo eneo linaloruhusiwa kwa kufanya shughli yoyote ya kibinadamu isipokuwa kwa utafiti wa mafuta, gesi au madini ya uraniamu tu
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao na Wachina wamiliki wa Kampuni ya RedOre Mining Co. Ltd, mkuu wa mkoa wa Katavi, Dr Rajabu Rutengwe alisema kuwa katika mazungumzo na wawekezaji hao alibaini kuwa walitapeliwa na mtu aliyewauzia eneo hilo baada ya kuona kuwa eneo hilo haliruhusiwi kwa shuguli yoyote.
Alisema kutokana na hali iliyojitokeza inabidi sheria ichukue mkondo wake na huku wawekezaji hao wakiwa nje ya hifadhi kwani tayari eneo hilo limeshaharibiwa na kuingiza hasara kubwa Taifa hivyo ili kuepusha malalamiko ya kuwa wageni hao wameonewa na Watanzania hivyo mahakama ndiyo itakayoamua nani kakosea, wapi na namna gani kakosea ili kulinda utawala bora.
Akizungumzia juu ya aliyewatapeli wawekezaji hao mkuu wa mkoa alisema wao ndio wanamfahamu aliyewauzia na wanafahamu watampata wapi hivyo ni jukumu la wawekezaji kumtafuta wamuawajibishe kwa kuwatapeli ambapo mkuu huyo wa mkoa alitoa ushauri kwa wawekezaji wengine wasiingie mkataba na mmiliki yeyote wa ardhi katika mkoa wa Katavi bila kuwasiliana na Halmashauri au ofisi ya madini ya kanda ya Magharibi iliyoko mjini Mpanda kwa ushauri na msaada wa taarifa za eneo husika.
Chanzo: kataviyetu.blogspot.com
Ukusanyaji Maoni ya Katiba Mpya
![]() |
| Kijana akichangia maoni yake kwa njia ya maandishi. |
![]() |
| Wananchi wakifuatilia mchakato mzima wa utoaji maoni. |
uundwaji wa katiba mpya ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Mchakato huu umefanyika katika viwanja vya Kashaulili.
Kwa taarifa zaidi tembelea www.katiba.go.tz
Maisha Plus ndani ya Mkoa wa Katavi.
MAISHA PLUS 2012:
JE UNGEPENDA KUSHIRIKI MAISHA PLUS? UWE NA UMRI KATI YA MIAKA 21-26,
KWA MARA YA KWANZA MKOANI KATAVI. USAILI UTAFANYIKA TAREHE 14/09/2012
SAA 2:00 ASUBUHI MPANDA MJINI. ILI KUJUA IDADI YA WASHIRIKI
TUNAANDIKISHA MAJINA YA VIJANA BURE KUANZIA SASA FIKA NEW TANGANYIKA
CAFE KARIBU NA KANISA LA MORAVIAN - MPANDA. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA
SIMU NA. 0712 552211 HII NI NAFASI YA PEKEE KWA VIJANA WA JINSIA ZOTE
NI WAKATI WA KUPATA MWAKILISHI WA KUTANGAZA MKOA WETU MPYA. NYOTE
MNAKARIBISHWA
JE UNGEPENDA KUSHIRIKI MAISHA PLUS? UWE NA UMRI KATI YA MIAKA 21-26,
KWA MARA YA KWANZA MKOANI KATAVI. USAILI UTAFANYIKA TAREHE 14/09/2012
SAA 2:00 ASUBUHI MPANDA MJINI. ILI KUJUA IDADI YA WASHIRIKI
TUNAANDIKISHA MAJINA YA VIJANA BURE KUANZIA SASA FIKA NEW TANGANYIKA
CAFE KARIBU NA KANISA LA MORAVIAN - MPANDA. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA
SIMU NA. 0712 552211 HII NI NAFASI YA PEKEE KWA VIJANA WA JINSIA ZOTE
NI WAKATI WA KUPATA MWAKILISHI WA KUTANGAZA MKOA WETU MPYA. NYOTE
MNAKARIBISHWA
Siku ya May Mosi kama kawaida Mpanda_Katavi hatukuwa nyuma
Wanafunzi wa chuo cha ufundi stadi(Veta) wakiwa kwenye maandamano.
Huku mmoja akiwa na bango lenye ujumbe usemao UFUNDI STADI Ni AJIRA KWA VIJANA
Wafanyakazi wakiwa kwenye maandamano ya siku yao ya wafanya kazi.
Wanafunzi nao hawa kuwwambali kuonesha ushilikiano wao katika siku hii ya wafanyakazi duniani.
Kama kawaida ya VETA hawakuwa mbali kuonesha zana zao za kufanyia kazi
Kitaifa sherehe hizi zilifanyika Jijini Tanga katiaka uwanja wa Mkwakwani huku Mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Dk J.Kikwete
Picha:
Alex Milwano
Sherehe za Kumkabidhi mkoa mkuu mpya wa mkoa mpya wa katavi!
Hapa ni mkuu wa mkoa akiwa anaingika katika viwanja vya kashaulili na hapo alikuwa akisalimiana na wananchi.
Hapa mheshimiwa mkuu wa mkoa akiwa anaingia katika viwanja vya kashaulili kuendelea na sherehe.
Mambo ya kimila pia yalikuwepo katika makabidhiano ya mkoa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Rukwa Eng. S. Manyanya kwa Mkuu wa mkoa wa KAtavi Mh. R. Rutengwe.
Hapa Mh. ndugu R. Rutengwe akiwa amekalisha kuombewa dua na wazee.
Picha:
- Alex Milwano
- Oswald Kikwala
Subscribe to:
Posts (Atom)












































